Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakat wa jpm kuna upumbavu mwingi kuliko huo sema aliwalisha wajinga sumu wakamuona ni Mungu mtu !!! Kamfufueni kwa msaada wa gwajimaIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
wagane ??POLE KWA wafiwa bila kujali nani kasababisha ajali, hakuna anayependa kifo jamani nyie acheni tu, hapo kunatokea wajane, wagane na mayatima, eeh Mungu tusaidie sisi waja wako.
Unamaanisha binadamu aliyekwishafariki angezuia vifo au angezuia ajali au angezuia dreva asijifanye anaenda kwenye msiba au angezuia isitangazwe? Yaani angezuia nn? Au angezuia Trafik kuruhusu gari la msiba lisiendelee na safari?Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Hiyo sehem inavutia kukanyaga weseHapo oil com huwa zinatokea sana ajari, sijui kuna nini hata.
Kwani JPM angefanya nini? Mbona ajali zilikuwepo tu.Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Aise kwa hiyo watu kipindi cha mzee wetu yule walikuwa hawafi kwa ajali? Pia hizo gari zilikuwepo tangu kipindi cha mzee na mbinu ni hizohizo zilizokuwa zinatumika.Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Hata siku hizi mvua ainyeshi vizuri sababu hayupoIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Ni sehemu moja ambayo kwa dereva anayechukua tahadhali hiyo sehemu ni kama ina mvutano hivi hauelezeki, lakini sio sehemu salama sana kwa nguvu tu za kibinaadam, hiyo sehemu nimekuwa nikipita mwili unasisimka kabisa, yaan unastukia tu ushalizua la kuzua. Kuna vipande huwa siviamini kabisa, mikese- moro, segera- tanga- na kipande cha dumila- gairo, huwa naongeza umakini sana njia hizo,Hapo oil com huwa zinatokea sana ajari, sijui kuna nini hata.
Acha ufala, mbona kipindi chake wamekufa wafanyakazi wa Azam wakienda kwenye mikutano ya HamnazoIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Sema yasingetangazwa.Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!