Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamvu darajani kwa mbele kama unaelekea nanenaneOilcom yamaeneo gani
Pale hakupo sawa,gari inahama njia bila kutarajia, sijui kuna nini pale.pana rekodi ajali nyingi sana pale.Ni sehemu moja ambayo kwa dereva anayechukua tahadhali hiyo sehemu ni kama ina mvutano hivi hauelezeki, lakini sio sehemu salama sana kwa nguvu tu za kibinaadam, hiyo sehemu nimekuwa nikipita mwili unasisimka kabisa, yaan unastukia tu ushalizua la kuzua. Kuna vipande huwa siviamini kabisa, mikese- moro, segera- tanga- na kipande cha dumila- gairo, huwa naongeza umakini sana njia hizo,
Nina uhakika iyo coaster nizile tunazitumia wasafiri wa usiku kwenda mkoani kufata mazao,last week walisema SUMATRA wapo mikese gar ikipita na abiria faini nikuanzia 250,000 kuendelea.
Hii imesababisha madereva kufanya udanganyifu kua wanabeba maiti ili waweze kupita kwenye kizuizi cha sumatra...
Nchi yetu wote jamani,tuijenge pamoja
Sema zisipate dereva chiziHizi coaster zinatusave sana wale wa usiku
Sasa matokeo yake ndo hayo, maafa tyuuh. [emoji24][emoji24]Hiyo sehem inavutia kukanyaga wese
Pako tofautia sana.
Embu fikiri umetoka huku kasanga umejiachia alafu pale kama pamejificha ivi na mitimiti
Yaan hapo sijui pana nini hata, duuuh Jah asaidie kwa kweli.Ni sehemu moja ambayo kwa dereva anayechukua tahadhali hiyo sehemu ni kama ina mvutano hivi hauelezeki, lakini sio sehemu salama sana kwa nguvu tu za kibinaadam, hiyo sehemu nimekuwa nikipita mwili unasisimka kabisa, yaan unastukia tu ushalizua la kuzua. Kuna vipande huwa siviamini kabisa, mikese- moro, segera- tanga- na kipande cha dumila- gairo, huwa naongeza umakini sana njia hizo,
Jana nilikuambia wewe Ni ndeziIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Infact, alikuwa na jicho la tatu, ambalo, inaonesha hata mfuasi wake hataki kulitumia: twafwaIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Acha fix mzee oil com nane naneMoro, mikese
Acheni upuuzi na nyie tumeshawachoka, kila kitu kikitokea ohh angekuwepo jiwe, lisingetoka!!basi mfuateni huko, ni ajari ngapi zilitokea kipindi cha jiwe?MUNGU FUNDIIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Walioungua na petrol Msamvu ilikuwa enzi za nani?Ingekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
View attachment 1826436
Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani
Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.
Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.
My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?
Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.
====
Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
![]()
Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majini na yenyewe yako free sahivi, yanatafuta chakula holela tyuuh, kazi iendelee.
Kwasababu usingesikia maana media zilipigwa banIngekuwa enzi za JPM, haya mauzauza yasingetokea, nawaambieni mapema!!!
Israel uwa habeepiwi...R.I.P ya ukweli waombelezajiView attachment 1826436
Basi linadaiwa kusababisha ajali jana mkoani Morogoro lilibeba mashada ya maua, dereva aliposimamishwa kwa mwendo kasi alidai Wanawahi Msibani
Taarifa za kuaminika kutoka kwa abiria ni kuwa gari hilo halikubeba maiti na abiria wote waligeuka waombolezaji kila gari liliposimamishwa.
Na taarifa za hivi punde kutoka kwa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Fortunatus Musilim amesema idadi ya waliofariki dunia imeongezeka kutoka 7 mpaka kufikia 9.
My Take:
Gari ikisafirisha maiti huwa inapewa vibali na kuna nyaraka za kusafiri nazo,JE ZILIHAKIKIWA?, Lakini je Gari yenye maiti inaruhusiwa kukimbia zaidi ya mwendo halali?
Jeshi la polisi msikwepe hili lawama.
====
Watu Tisa wamefariki dunia huku wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Oil Com Manispaa ya Morogoro.
![]()
Ajali hiyo imehusisha magari matatu gari la Abiria Toyota Coster yenye namba za usajiri T686 DUK, iliyokuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Mbeya, Gari ndogo aina ya Crester yanye namba za usajili T563 ASA pamoja na Lori la Mizigo kampuni ya Dangote.