Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

Pale hakupo sawa,gari inahama njia bila kutarajia, sijui kuna nini pale.pana rekodi ajali nyingi sana pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hizi coaster zinatusave sana wale wa usiku
 
Hiyo sehem inavutia kukanyaga wese
Pako tofautia sana.

Embu fikiri umetoka huku kasanga umejiachia alafu pale kama pamejificha ivi na mitimiti
Sasa matokeo yake ndo hayo, maafa tyuuh. [emoji24][emoji24]
 
Yaan hapo sijui pana nini hata, duuuh Jah asaidie kwa kweli.
 
Pole kwa wafiwa! mwenyezi Mungu yupo pamoja nanyi
 
Mungu wakati wote hafanyiwi mizaha na dhihaka za kipumbavu, hawa walikaribisha wenyewe mauti na wakadhamiria kabisa abiria wengi wana upumbavu mwingi.

Mimi kuna siku nilimfokea dereva kwa kuendesha ovyo uwezi amini abiria wote walikaa kimya wakaniacha peke yangu na pambana na dereva hadi alipopunguza mwendo baadae wengine ndio wanasema oooh huyu anaendesha lafu.

Usiombe upande gari na abiria mizigo na wasio na uwezo wa kufikiri, utakoma
 


Kati ya Makamanda wa Traffic waliokuwa na mbwembwe na vituko katika utekelezaji kazi zao ni Kamanda Fortunatus Muslimu, amabye sasa ni RPC Morogoro.

Barabara karibu nyingi kwenda mikoani huptia mkoa huu, na hivyo huyu kamanda "Nyakua Nyakua" tulitegemea umakini mkubwa katika mkoa huu wa Morogoro.

Tunajua ajali ni ajali, lakini kuna zile za uzembe kama iliyotokea jana , kati ya dala dala na magarimengine hivyo kuchukua uhai sasa tunaamibwa watu saba.

Kamanda Musilimu, Nyakua Nyaua wapi tena?
 

Wako busy kukagua ubovu wa magari. Magari mabovu yako garage.

Ajali ipi imesababishwa na ubovu wa gari?

Dar - Mbeya gari mbovu? Issue ni mwendo kasi kama wa yule OCD wa Kagera!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majini na yenyewe yako free sahivi, yanatafuta chakula holela tyuuh, kazi iendelee.

Wawekezaji wamerud kwa kasi ya 6G, kule majambaz yametolewa jela, huku wachawi na wao wameruhusiwq kunywa Damu hadharan, ccm mbele kwa mbele
 
Israel uwa habeepiwi...R.I.P ya ukweli waombelezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…