Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

Ongeza na kipande cha Mikumi to Kilombero
 
1HZ 6 cylinder ,Diesel engine 4200cc, chuma hicho sawa na V6 Landcuiser .
Pole wafiwa.
 
Kweli yasingetangazwa. Jamaa alikúwa anapenda kuonekana "amemaliza" shida zote za Watanzania.
Sidhani kama katika herufi 26 kwenye alfabeti ipo hata moja inayoweza kugredi alama zako za somo la Kusoma. Poor soul!!!
 
Wakat wa jpm kuna upumbavu mwingi kuliko huo sema aliwalisha wajinga sumu wakamuona ni Mungu mtu !!! Kamfufueni kwa msaada wa gwajima

Jamaa yangu umentumia nguvu nyingi kuandika ujinga sjajujua kwann?
 
kufa ni kufa tu haijarishi utakufaje ilimradi zimefika.

acheni lawama !
 
Wakat wa jpm kuna upumbavu mwingi kuliko huo sema aliwalisha wajinga sumu wakamuona ni Mungu mtu !!! Kamfufueni kwa msaada wa gwajima
taja upumbavu mkubwa zaidi kuliko huo na useme pia ulijuaje wakati wengine tukilishwa sumu.

nyie ndio wale wambea mnaojifanya"jamani eh freemason ni siri sana ila wanatoa kafara balaa"ukiulizwa umejuaje,unamalizia na nimeambiwa na jamaa yangu wa huko,
upuuzi.
 
Wamesingizia kusafirisha msiba ....
Na saaa baadhi yao wakageuka kuwa misiba....

Kama yule aliyeigiza kufa na baadaye akawapa taarifa wenzie anajiskia vibaya finally akafa
 
ina maana abiria walijitabilia kifooo
masikini weee
wapumzike kwa amanii
 
Acha wafariki kama waliamua kuomboleza msiba wasioujua.
 
Sheria zikiwa nyiiigii Raia wakale wapi?
 
inalilah wainaiah rajiun
allah awape makazi mema peponi

nimempoteza rafiki yangu kweny gari ndogo.
 
Dreva kawapeleka kuzimu,unawekewaje mashada ya maua,nuksi ndio ilianzia hapo
 
H
Mwendakuzimu is dead and forgotten, mataga ni Muda sasa mkubali samia ndo rais na amir mkuu wa jeshi
Ww ndio taga usiejua tunafahamu SSH ndie rais wa tz na shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM, may his precious soul rest in eternal peace and power, amen🙏) amerudi nyumbani kwa Muumba! Pia tunajua alikuwa mkweli kwetu watz, siyo kama saleout wengine 🤔! Tunaomba sana Mungu mama yetu huyu SSH atafuata nyayo za mtangulizi wake 🙏!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…