Ajali Morogoro: Gari liliwekewa Mashada ya Maua na abiria waliomboleza ili kukwepa Doria ya Polisi

Mwendakuzimu kweli alikuwa mkweli, asubuhi ataropoka maendeleo hayana chama ikifika mchana anageuka na kusema siwezi kupeleka maendeleo majimbo ya upinzani, moto wa milele umuunguze Yule dhalimu
 
Wawekezaji wamerud kwa kasi ya 6G, kule majambaz yametolewa jela, huku wachawi na wao wameruhusiwq kunywa Damu hadharan, ccm mbele kwa mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu sitaki bhana,
Eeeeh una habari shoga kidawa Hamissa, kapata uteuzi wa ubalozi wa kodi? Nchi ina futuhi hii sijawahi ona khaaaah.
 
Mimi maoni yangu hizi gari pamoja na IT zingeruhusiwa tu kubeba abiria kihali, zinasaidia sana watu, wafanya biashara wa mbeya na Tunduma na wengine wenye haraka na misiba wanafika kwa wakati, huwezui kusema Bus la abiria 60 lipakie usiku likajza, ukiwa mbeya kuanzia saa 9 mchana abiria wa kuja Dr ni wengi, napia mda huo kutoka Dar kwenda Mbeya pia abiria ni wengi. Hiyo ni fursa kwa vijana wetu kupata fursa kujikinu kwa kipato, wangewapa maelekezo machache na kibali kulipia pesa kidoho mtu apakie awe free njani. Kinaulazima gani gari labda Costa au Hiace imetoka bandarini inakwenda Zambia kupitia Tunduma, iende tupu na abiria wapo? Mnatengeneza mchongo tu kwa polisi. Sasahivi IT zimekus chanzo cha mapati kwa polisi njia nzima ya Dar Mbeya
 
Hata hili linahitaji katiba mpya ?
 
Waweke kibali mtu analipia let say tsh 20,000/ anapakia abiria, kingekua peas zinaingia serekalini na wananchi tunasafiri kwa Raha kwa wakati. Nijuavyo kwa siku hukosi it mpaka 80 zinapakia abiria, wangekua wanalipa kibali 10,000 au 20,000/ kwa mwaja serikali ingekusanya kiasi gani? Na vijana kujipatia ujira halali?
 
Exactly,hizo gari zinaitwa "hakuna kulala"Mimi nilishaacha kupanda,maana speed ndogo ni 140km/hr.Siku 1 ilitaka ituue kona za Iyovi (Mikumi kwa mbele) kama unaelekea Iringa.Poleni wafiwa
 
Basi abiria waliyokuwemo ndani nao wazembe

Ova
Zile gari especially za Mbeya zinamwendo zaidi ya Kosta ya magazeti. Abiria wajinga wanazipenda maana Ni Bei poa na unafika Mbeya mapema asbh, unamaliza shughuli zako jioni mnageuza.
 
Gari inayoenda msibani ni lazima ibebe maiti? Hawa walikuwa wanajichuria msiba, wakijiona ni wajanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…