Namba tano ni ngumu sana, assume wewe ni mmiliki wa gari na umempata dereva makini ukamkabidhi gari yako...soon akapata ajari na akafariki yeye na baadhi ya abiria, wanausalama wakaja sema kosa ni la dereva, na wakati huohuo gari yako imeisha kabisa huna matumaini ya kuirudisha uzimani, je utakubali kulipa faini?.
Mwisho jana nimeona ajari ya gari ya Noah ikiwa inatokea Mto wa Mbu kwenda karatu (Mkoa wa ARUSHA), kilomita chache kabla ya kufika Karatu mjini ile Noah ikapata ajari. Maswali yamekuwa mengi kupita maelezo maana kwa nyuma yake ni kituo wasimamapo maafisa usalama, mahali ambapo gari imepata ajari ni sehemu nzuri tu kwa usalama,
Isipokuwa kuna watengeneza barabara wamemwaga kokoto na walikuwa bado hawajaweka kibao kuonyesha kazi ikiendelea........na pia nae dereva pale inasemekana alipita asubuhi route ya kwanza na ile ilikuwa route ya pili na alipaona. Sasa watu wamekosa majibu kwamba yule bwana alikuwa mwendo kasi sana, je traffic walihongwa pale nyuma?,
Eneo la ajali imekuaje dereva amepata ajari pale maana gari ilihamia upande wa pili ndiko lilikoangukia. Hapohapo upande wa juu ndiko nyumbani kwao huyo dereva.......na huyo dereva hiyo ni gari yake ameinunua mda mfupi toka ajichangechange kutoka ktk biashara ya bodaboda na kuuza shamba. Dereva hawajampata hadi leo na majeruhi wapo hospital, waliofariki ni RIP tu.
Sasa hiyo faini hata wakimdai atalipa ataitoa wapi? maana ule ni uzembe wa dereva na uzembe wa trafiki aliyepangiwa kile kituo ile siku husika