Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

Uzalendo kwanza mambo mengne badae, maiti nayo hulaumiwa
 
Kwahy ikitokea ajali tuslalamike tuwe wapole maana cc wenyewe tunapenda iwe hvyo
 
Hii picha haisemi kila kitu, inategemea na hali, wakati mwingine inawezekana dereva huyo wa lorry aliona mbele kuko vizuri akawaruhusu wapite, na wa kwanza alivyopita akawaita na wenzake.
 
Hii picha haisemi kila kitu, inategemea na hali, wakati mwingine inawezekana dereva huyo wa lorry aliona mbele kuko vizuri akawaruhusu wapite, na wa kwanza alivyopita akawaita na wenzake.

Hakuna kitu kama hicho. Angalia mistari iliyochorwa hapo barabarani. Hapo hata kama mbele kweupe haruhusiwi kuovateki
 
Shida kubwa kazi ya udereva imechukuliwa kama kazi ya mwisho sana, mimi sioni tofauti ya dr na dereva wote wanadeal na roho za watu. Inatakiwa tubadilishe fikira za madereva watambue dhamana wanayokuwa nayo safarini.
 
Hata hawajui hizo double line barabarani zina maana gani?
 
Na wewe mtamamchungu inaoneka wewe hata sheria za barabarani hujui! Hiyo picha ya pili yenye mabasi 2 huyo mwenye lori unavyomuona hapo anaona kinachoweza kutokea kwenye kona? Kwanza hilo lori hata kwenye kona halijafika. Huyo fala wa basi anaovertake!
 
Halafu pia haruhusiwi kuovateki kwa kumfuata mwenzako. Kwavile unakuwa huoni mbele. Hapo na abiria wanachekelea tu.
 
Mipando kama hiyo inatakiwa iongezewe extra lane kwa ajili ya slow moving vehicles kama malori nk.
 
Hakuna kitu kama hicho. Angalia mistari iliyochorwa hapo barabarani. Hapo hata kama mbele kweupe haruhusiwi kuovateki
Ndio maana nikasema hii picha haisemi kila kitu. Hayo maeneo ya Iyovi na Kitonga kuna sehemu chache sana ambazo ni safe ku-overtake, haya maeneo yanataka timing, ndio maana muda mwingine madereva wanategemea kuongozwa na madereva wenzao. Sasa wewe bishana lakini hio ndio ukweli. Period
 

Kuna sheria na kuna uhalisia, ndio maana nikasema hiyo picha haisemi kila kitu. Hayo maeneo sehemu za ku-overtake ni chache sana, wakati mwingine madereva huwa wanasaidiana. Inawezekana mwenye lorry ndio kawaambia wapite. Hivi ndio watu wanaendesha magari.
 

Kenye sheria za usalama barabarani hakuna kitu kinaitwa taiming.
Mambo ya taiming hakuna
 

Kwahiyo mwenye lori kuwaambia wavunje sheria nao wakakubali.
 
Pia hapo huwezi kuona mita mia ili umruhusu wa nyuma apite, na kwenye kona hairuhusiwi kuovertake,tatizo madereva wetu wengi uendesha kimazoea na hawataki gari iwe mbele yao hata ajali nyingi sababu kubwa ni mazoea
 
Pia hapo huwezi kuona mita mia ili umruhusu wa nyuma apite, na kwenye kona hairuhusiwi kuovertake,tatizo madereva wetu wengi uendesha kimazoea na hawataki gari iwe mbele yao hata ajali nyingi sababu kubwa ni mazoea

Kaendeshe kwanza kwenda mkoani halafu utaona maana ya nilichokwambia. Ni abiria wachache sana ambao huwa wanajua nini kinaendelea barabarani
 
Kaendeshe kwanza kwenda mkoani halafu utaona maana ya nilichokwambia. Ni abiria wachache sana ambao huwa wanajua nini kinaendelea barabarani
wacha umaandazi aisee...unatetea ujinga waziwazi, eti timing...ndio mdudu gani huyu katika sheria za barabarani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…