Ajali: Tuambiane ukweli dhahama hili lituepuke

Hivi chukulia kipande cha kutoka Morogoro kwenda Dar, Selikali imeshindwa kupasua barabara nyingine mbadala,au ingalau pawepo na njia nne?hii ichi tunaongozwaga na wasiokuwa na uwezo wa kufikiri
Huwa nawaza kila siku tena wangeongeza mpaka Dodoma

Sent from my CLT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Tunduma, Songwe
Tanzania

Wafunga barabara kudai matuta, kufuatia ajali nyingi za waenda kwa miguu

 
Kumchukua university graduate kumpeleka kuendesha gari, hii ni kupoteza human resources. Cha msingi, madereva waive kimafunzo huko wanakosomea, mtu asipate cheti kama hajafuzu, na asipate ajira (ya udereva) kama hana cheti kinachotambulika na serikali!
 

Graduates wenyewe hawana ajira wako mtaani. Zingatia basi moja zaidi ya 300m/- wakabdlidhiwa hawa?

RIPOTI MAALUMU: Malori yanavyoweka rehani roho za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…