Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Nata nikuunge mkono always Balozi Mushi alikuwa mtu wakujichanganya some time unamkuta na jinsi mpauko anatembea barabarani au ana tumia gari umechoka ya serikali... Ndio style yake ya Maisha
 
Nata nikuunge mkono always Balozi Mushi alikuwa mtu wakujichanganya some time unamkuta na jinsi mpauko anatembea barabarani au ana tumia gari umechoka ya serikali... Ndio style yake ya Maisha
Ooh asante sana! Yes watu wa aina hiyo wapo . Tatizo ni haya maisha ya ufahari tuliyozea kuyaona kwa baadhi ya watu. Lakini kuna watu wanapenda maisha ya kawaida na wanayafurahia mno na hawaigizi 'kubeba zege au kusaidia wakulima shamba' ni uhalisia.
 
Balozi kafa kwenye crown inashangaza kweli. Kweli balozi asafiri mwenyewe ata machawa chawa wa bongo akose. Sijui ila inaleta ukakasi
Nimefanya kazi na Balozi Mushi, ni msela flan hivi na mtu anayejiamini sana, kuendesha gari mwenyewe ni kitu anachoweza kufanya, lakini kwanini Usiku? Kwanini Crown?

Something fishy!
 
Siyo gratia ni grata, boss
 
Utawala uliopita kama sikosei alikuwa RAS ....
Naibu RAS Mtwara, Magu alimpa adhabu ya kusimamia zoezi la kunyang'anya Wakulima korosho na kisha kuzimwaga baharini, ni kitu Balozi Mushi alikuwa akiumizwa nacho moyoni nadhani hadi mauti yake yanamfika, nimesikitika sana....highly intelligent, humble & outgoing personality😭😭😭
 
Yale yale ya Imrani Kombe, unakwenda kumaliziwa njia ya kwenda kwenu, nimeumia sana!
 
Att
Ajali ya Toyota Crown t.175dmf imetokea mkata dereva ni mwanamke amefariki papo hapo
, umiliki wa gari ni Celestine Joseph Mushy

Sambaza kwenye
magroup kadri uwezavyo ili ndugu wapate taarifa
toka 0652003003
 
Duh alibaka!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…