witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kwahiyo wanakutegeshea vitu barabaraniKuna wezi wa mafuta,waporaji wa mizigo kwenye magari,
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wanakutegeshea vitu barabaraniKuna wezi wa mafuta,waporaji wa mizigo kwenye magari,
Ova
😆😆😆😆😆👆🏿👆🏿👆🏿Wacha weeee !!!
Police ndo waliomwambia shemeji kuwa alikuwa amevaa cheni ndo maana watu walifikiri ni mwanamka ndo aliekuwa anaendesha. Shemeji kasema wamemtambua kupitia mabaki ya nguoNimemsikia Mkuu wa Wilaya ya Handeni Nchembe anasema kuwa walifika wakakuta hatambuliki.
Shemeji yake anadai kuwa waliona cheni ndo wakajua ni yeye
Hii kitu ina mambo mengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamesema ndugu hawakuwa na taarifa kwasababu mwili ulikuungua wote ukawa hautambuliki ni wa nani
Kwani gari lilitengenezwa kuwa bomu, na nani, yeye mwenyewe?Kama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.
Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!
Hivi "kubaka" hakutofautiani na 'consensual'? Clinton hakubaka, binti mwenyewe alikuwa tayari.Kabaka Clinton na akatuhumiwa yeye kama Bill na sio kama Rais ……
Ras Jeff cha wapi Hiki kijiti, aiseeee!!!So huenda jamaa alifia huko Aurtralia kwa kipigo.......
Najaribu kuwaza
Ndio wanajiita Mushy badala ya Mushi..!Jamaa wa pale Kibosho Road. Dah
Why ?... Kaharibu nini tena ?Yule wamemdedisha wakubwa.
Na Balozi Mushy alikuwa ni jasusi la kufa mtu, nilikaa naye siku 10 ilikuwa kama nimekaa University miaka 7
Aisee nimecheka sana dah hahahaCCM wamekithiri kwa maovu. Wanabaka hadi nje ya nchi?
Mission accomplished! The end justifies the means! Yaani wakipanga kukuua wanaweza kutumia njia yoyote!! Hata kutuma mbwa wako akung'ate kama yule mzee au mnyampaa idodomya kina arnold schwarzeneger kwenye majengo ya bunge kweli saa zingine wanapagawa wakipanga kuua mtu!!Mbinu iliyotumika kuficha mauaji ni ya kifala Sana hata mtoto wa darasa la pili hawezi kukubali kifo hiki
hao kamati ya ulinzi walifikaje usiku huo?? ili hali ni ajali ya kawaida tuu???
Mwili umeungua Kwa kufikia stage gani?..kwani kamati ya ulinzi hawapaswi kufika eneo la tukio la ajali ikiwemo barabarani?
..kama ingekuwa ni ajali ya kutengeneza, unadhani wahusika wangekuwa kamati ya ulinzi, au genge la wasioujulikana?
..bado sijashawishika kwamba hii ni ajali ya kutengeneza.
Uchunguzi gani tena ?Uchunguzi unaendelea
Ahsante..