Na ndio ukweli we unaweza kufata sheria akaja mwingine akakuletea shidaInasikitisha mno tena mno .
Kuna nchi ili upate leseni ya udereva ni hadi uwe umehakikiwa kweli kweli sana hatari haikuwa kwake yeye dereva mzembe bali anaweza kusababishia wengine kufa au ulemavu wa kudumu ambao wako innocent.
Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi.
"Ajali imetokea leo asubuhi eneo la Mdawi, watu watatu waliokuwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Rav4 wamefariki dunia baada ya gari hilo kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ester Luxury lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es Salaam," amesema Mkomagi.
Amesema chanzo cha ajali ni baada ya dereva wa gari dogo kuyapita magari mengine bila kuchukua tahadhari na kwenda kugongana uso kwa uso na basi hilo.
Hata hivyo, Kamanda Mkomagi amesema hakuna majeruhi kwenye basi hilo, na miili ya marehemu waliokuwa kwenye gari dogo imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mawenzi.
Pole wafiwaAjali imetokea leo asubuhi eneo la Mdawi, watu watatu waliokuwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Rav4 wamefariki dunia baada ya gari hilo kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ester Luxury lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es Salaam," amesema Mkomagi.
Na ndio ukweli we unaweza kufata sheria akaja mwingine akakuletea shida
Nadhani tz ni Moja kati ya nchi watu hawafati sheria duniani na sio TU barabarani Bali kwenye mambo mengi zikiwemo ofisi
Hizi basi za kampuni ya Ester zikiwa barabarani wanajiona kama wao wanamiliki hii nchi. Hawajali watumiani wengine wa barabara na ndiyo chanzo cha wao kupata ajali mara kwa mara.
Hizi basi inabidi kuchukua tahadhari sana unapokutana nazo njiani. Hawachelewi kukuletea ajali makusudi tu.
Wapate pumziko la amani marehemu wote wa hii ajali
Kwa kumjua Mmiliki wa Basi la Ester, alivyo Kitabia na anapenda nini huku mwaka huu ukiwa ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu hapa najua sana Kafara limekubali na mwaka huu atashinda tena Ubunge huko Jimboni Kwake na kuendelea kutamba hadi katika Noti mpya za duniani.Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi.
"Ajali imetokea leo asubuhi eneo la Mdawi, watu watatu waliokuwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Rav4 wamefariki dunia baada ya gari hilo kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ester Luxury lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es Salaam," amesema Mkomagi.
Amesema chanzo cha ajali ni baada ya dereva wa gari dogo kuyapita magari mengine bila kuchukua tahadhari na kwenda kugongana uso kwa uso na basi hilo.
Hata hivyo, Kamanda Mkomagi amesema hakuna majeruhi kwenye basi hilo, na miili ya marehemu waliokuwa kwenye gari dogo imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mawenzi.
Bila kurekebisha akili za watumiaji wa hivyo vyombo hata barabara ziwe na upana wa mita 100 ajali hazitakomaSerikali waimarishe miundombinu ya barabara ili kukidhi mahitaji ya vyombo vya moto .
Si umeona huyo wa rav4,alikua anamfuata Kidia bila kuchukua tahadhari yake binafsi,shuleni tumefundishwa somo la tuwe na udereva wa kujihami,akauziwa kicheche,hakufuata sheria za driving,kwamba uovertake tu pale unapojihakikishia usalama wako kwanza.Huko shule hauwezi funzwa vingine tofauti na serikali inavyotaka.
Hapo ilipotokea ajali huwa kuna Misongamano ambayo hupelekea hizo overtake , tungekua na barabara pana inayoweza kukidhi uwingi wa vyombo , ingekupunguza ajali kwa kiasi kikubwa .Si umeona huyo wa rav4,alikua anamfuata Kidia bila kuchukua tahadhari yake binafsi,shuleni tumefundishwa somo la tuwe na udereva wa kujihami,akauziwa kicheche,hakufuata sheria za driving,kwamba uovertake tu pale unapojihakikishia usalama wako kwanza.
Shule haijawahi kudanganya,ni kama kioo vile
Soma vizuri na sikiliza kwa makini maelezo ya mashuhuda, chuki zako usituhusishe sisi. Hiyo Rav4 iligongwa nyuma kwenye tairi ya akiba na basi la Kidia One hivyo ikasukumwa na kwenda kujigonga kwenye basi la Ester.Hizi basi za kampuni ya Ester zikiwa barabarani wanajiona kama wao wanamiliki hii nchi. Hawajali watumiani wengine wa barabara na ndiyo chanzo cha wao kupata ajali mara kwa mara.
Hizi basi inabidi kuchukua tahadhari sana unapokutana nazo njiani. Hawachelewi kukuletea ajali makusudi tu.
Wapate pumziko la amani marehemu wote wa hii ajali
Qafr za mbio 2030Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi.
"Ajali imetokea leo asubuhi eneo la Mdawi, watu watatu waliokuwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Rav4 wamefariki dunia baada ya gari hilo kugongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ester Luxury lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es Salaam," amesema Mkomagi.
Amesema chanzo cha ajali ni baada ya dereva wa gari dogo kuyapita magari mengine bila kuchukua tahadhari na kwenda kugongana uso kwa uso na basi hilo.
Hata hivyo, Kamanda Mkomagi amesema hakuna majeruhi kwenye basi hilo, na miili ya marehemu waliokuwa kwenye gari dogo imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mawenzi.
Mkuu ikifika imefika tu. Leo huko marekani dogo alikuwa anarudishwa kwao mexico na private jet baada ya matibu yaliyomuokoa maisha wakafa wote sita ndani ya hiyo private jet.Sijui kwann kuna watu huwa hawajui kabisa kuhis hatar,yaan yeye akiamua anafanya tu bila hata tahadhari
Mmmh,kazi ipoNyingine zinapigwa hata hazijasajiliwa