milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kwa uongozi upiš³Tatizo lipo pande mbili, kutofuata sheria lakini pia miundo mbinu sio rafiki. Baada ya kukamilika miradi iliyopo sasa ya SGR, BWAWA, MADARAJA, nk. Ingependeza sasa Mradi mkubwa uwe wa kuweka Barabara Nne za Njia kuu zote nchini. Itasaidia kupunguza ajali kwa asilimia kubwa sana.