Nimeamini wasukuma ni watu wa hovyo, yaani mtu anaungua liko linarekodi tu na kusema "halafu huyu bado mzima". Ni nini kiliwafanya wasimvute kumuondoa pale kwenye moto huyo aliyekuwa anaungua?Ila watanzania ni watu wa hovyo sana. Yani limtu limekomaa ku record tu badala ya kutoa msaada linaropoka ropoka tu.
Hii ni fedheha kubwa sana Dunia ya Leo imekua pango la waranguziBoda boda anaungua Moto jamaa anarekod duu😡
Hii si kauli nzuri wala ya kiungwana usemayo,watanzania wote hatujafikia hatua hii ya kusemana ivyo,Palipo na kosa tunasemezana kiungwana kwa kuelimishanaHawa jamaa acha wafe tu michosho sana
Kw haraka haraka tabia ya Bodaboda imeshachosha kila mtu. Ndio maana unaona msaada mpaka waje wenzao. Kwa kifupi bodaboda wajitathmini.Nimeamini wasukuma ni watu wa hovyo, yaani mtu anaungua liko linarekodi tu na kusema "halafu huyu bado mzima". Ni nini kiliwafanya wasimvute kumuondoa pale kwenye moto huyo aliyekuwa anaungua?
Uache ujinga, hayamkuti mamba haya, yanatusubiri watu wa barabarani mimi na wewe.. ajali nyingine unasababishiwa, nyingine hitilafu ya chombo, nyingine uzembe wako dereva, hujui kilichotokea unaropoka tu.Hawa jamaa acha wafe tu michosho sana
Vijana hawajapita jkt...vijana wa kitanzania ni wazembe sanaIla watanzania ni watu wa hovyo sana. Yani limtu limekomaa ku record tu badala ya kutoa msaada linaropoka ropoka tu.
Sasa unata watu wote watoe msaada,hata hao wa kurekodi nao wametoa msaada kuhabarisha umma na inasaidia pia kuwaelimisha watu.Hivi watz sisi aliyeturoga nani? Unapata wapi ujasiri wa kumrecord mwenzio akiwa katika hali hiyo pasina kutoa msaada wowote? Qqqwqmae zenu wote mliorekodi hiyo video.
Sasa wasingerekodi ww ungepataje habari?Nimeamini wasukuma ni watu wa hovyo, yaani mtu anaungua liko linarekodi tu na kusema "halafu huyu bado mzima". Ni nini kiliwafanya wasimvute kumuondoa pale kwenye moto huyo aliyekuwa anaungua?
I mean baada ya kupelekwa hospitali, huoni amekaa muda mrefu na moto mwilini (Deep burn) achilia mbali majeraha aliyopata baada ya kudondoka na hiyo pikipiki? Ndiomana nimeuliza huko hospitali amepona?Amepona.
Huoni "ameokolewa"!?
Ajali mbaya sana.
Na Mzizi Mkavu alikuwepo.
Either itakuwa Mzizi Mkavu au Mshana Jr.
Yule amechelewa sana kuona yule mtu hajakufa.
Anasema,"Nadhani huyu mtu no mzima",wakati sisi tumeshaona.
Nimewaza sana NIkagundua Tanzania Ni taifa la watu Wapumbavu sana...Kuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?
Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Yaani mtu anaungua wanamuangalia tuu' mpaka alipoanza kujigeuza... Wapumbavu ni wengi sana hii nchiNimewaza sana NIkagundua Tanzania Ni taifa la watu Wapumbavu sana...
Ni mbaya lakini itawafundisha wengi watakaoiona. Hasahasa bodabodaHivi watz sisi aliyeturoga nani? Unapata wapi ujasiri wa kumrecord mwenzio akiwa katika hali hiyo pasina kutoa msaada wowote? Qqqwqmae zenu wote mliorekodi hiyo video.
Aliyeungua amepona?Amepona.
Huoni "ameokolewa"!?
Ajali mbaya sana.
Na Mzizi Mkavu alikuwepo.
Either itakuwa Mzizi Mkavu au Mshana Jr.
Yule amechelewa sana kuona yule mtu hajakufa.
Anasema,"Nadhani huyu mtu no mzima",wakati sisi tumeshaona.
Hoja yako naiunga mkono asilimia mia!Nimewaza sana NIkagundua Tanzania Ni taifa la watu Wapumbavu sana...