Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Acha kutetea ujingaUna akili finyu sana
Staki kusema vibaya
Lakini kwenye maisha yetu ni ngumu kuepuka kupanda boda boda
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nashangaa watu wanaowateteaHawa jamaa hawana side.
Upande wowote wanapita.
Sheria ya keep left hawana kabisa.
Picha inatisha sana. Sujui mwamba amewezaje kuvumilia ku-record!
Hata mchanga tuKuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?
Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Left keeping rule alwayz inaokoa sana.Watanzania wengi hupuuza "Left keeping rule" siyo tu wenye vyombo hata watembea kwa mguu, mimi huwa napiga makofi ninao wamudu.
Matokeo ya haraka, mazoea na kupuuza sheria ndo haya. Barabara nyeupe kabisa watu wanagonganaje uso kwa uso wakati ilipaswa wawe side tofauti kabisa.
Shida ya bodaboda akiwa mzima wanafujo sana wenye haraka muda wote dharau na ujuaji ila wakipata ajari sisi waungwana huruma inatuingia na tunaumia vile vile.
Sasa ona wanaacha familia wake na watoto wadogo katika maisha magumu.
Mwenyezi Mungu tupunguzie Vifo utuongezee Vipato.
YAANI inashangaza sanaHivi watz sisi aliyeturoga nani? Unapata wapi ujasiri wa kumrecord mwenzio akiwa katika hali hiyo pasina kutoa msaada wowote? Qqqwqmae zenu wote mliorekodi hiyo video.
Bro weka akiba ya maneno punguza kuandika vitu ukiwa na misisimko huyo ni mtu kama ulivyo wewe hakuomba aanze siku kwa kupata ajali au kuungua moto.Hawa jamaa acha wafe tu michosho sana
Kizazi chenyewe cha sahvi hikiKuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?
Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Wanataka kuwahi kurusha fb insta hukoWhy wasimmwagie mchanga lakini wanapiga picha?
Ni wa kufunga jela wote
Kweli inaudiHivi watz sisi aliyeturoga nani? Unapata wapi ujasiri wa kumrecord mwenzio akiwa katika hali hiyo pasina kutoa msaada wowote? Qqqwqmae zenu wote mliorekodi hiyo video.
wapumbavu sanaWanataka kuwahi kurusha fb insta huko
Ova