Ajali ya bodaboda jijini Mwanza

Ajali ya bodaboda jijini Mwanza

Why wasimmwagie mchanga lakini wanapiga picha?

Ni wa kufunga jela wote
 
Kuzaliwa tz ni michosho sana

Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?

Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Hata mchanga tu
 
Watanzania wengi hupuuza "Left keeping rule" siyo tu wenye vyombo hata watembea kwa mguu, mimi huwa napiga makofi ninao wamudu.

Matokeo ya haraka, mazoea na kupuuza sheria ndo haya. Barabara nyeupe kabisa watu wanagonganaje uso kwa uso wakati ilipaswa wawe side tofauti kabisa.

Shida ya bodaboda akiwa mzima wanafujo sana wenye haraka muda wote dharau na ujuaji ila wakipata ajari sisi waungwana huruma inatuingia na tunaumia vile vile.

Sasa ona wanaacha familia wake na watoto wadogo katika maisha magumu.

Mwenyezi Mungu tupunguzie Vifo utuongezee Vipato.
Left keeping rule alwayz inaokoa sana.

Ukikutana na nunda lipo speed sana halafu lipo katikati ya barabara au limezidi sana kulia kwake halafu na wewe umezidi kulia kwako,kifuatacho ndio kama hiyo ajali
 
Mudy kibadulaah wa majimatitu, maliasili mbagala....acha kazi ya bodaboda jitafute kwengine ndgu yangu
 
Mtu anapita na gari why asitoe msaada wa fire extinguisher!

Cha ajabu pia wanazima huku wanamuangalia akiungua badala wamvute na kumuweka pembeni.

Boda boda acheni kuendesha speed, leo yametokea hayoo, cha ajabu others hawajifunzi.
 
Kuzaliwa tz ni michosho sana

Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli?

Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
Kizazi chenyewe cha sahvi hiki
Kutwa kukata mauno....

Ova
 
Kweli wabongo wengi ni waoga sana, wakaishi nchi zenye vita wakajifunze kitu.

Yani mtu anaungua halafu unamwangalia hata kutoa msaada wa kumvuta na kumuweka pembeni! Hii ndio Afilika Afilika
 
Back
Top Bottom