Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Mchane tu urudi kwenye ban, Ban kitu gani
Mola akimchana ndiyo safi maana hatarudia tena kutukana watu asio wajua! Walahi nakwambia! Afu ban mbaya sana lazima tujifunze hekima na busara, believe me muhimu sana
 
Huyo Kiranga anaesema Mungu hayupo, izo shahawa Ambazo chanzo cha kuumbwa yeye,,,nani kaziumba izo mbegu angetuambia, ,,
Soma biology mkuu
Utajua namna shahawa zinavyotengenezwa

Kuanzia chakula unachokula mpaka kwenye huko testicines huko utaona namna shahawa zonavyokuwa zinazalishwa

Kwanini mtu akiwa na upungufu wa shahawa anapewa ratiba ya aina ya msosi ale

Kuna vyakula ukila shahawa huzalishwa kwa wingi

Find a book and read
 
Kwahiyo hajali ni ipi condom ikipasuka wakati wa tendo au kuumwa na mbu wa malaria kabla ya kuingia kwenye net?
Hakuna ajali hapo,kwanin uokote okote tuu,kwanin usipime kabla ya tendo,na kwanin mazingira yasiwe saf nje na ndan kuua wadudu,mbona,nje zingne malaria ni ndoto,uzembe wenu mnasema ajali,
 
akisha nyogwa.watarudi..mipango ya mungu tu
Wakishanyongwa itakua fundisho kutii sheria za barabaran na kuheshim utu,sio kujaza watoto 50 kweny gar1,...na watu wataogopa,na askar hawatachkua hongo za baraban,kama makosa kama haya yatashugulikiwa ipasavyo,kama wachina,wameweza nasis tunaweza,dunian hapa hakunaga bahat mbaya,ni huku kwetu tuu ndo kuna huu ujinga wa bahat mbaya,
 
Inauma Sanaa hii ni idadi kubwa Sanaa watu kupoteza uhai Mungu azilaze mahala pema peponi
 
Na bado wamem consider kama MTU wa 25 huoni namba imeendelea 26 27
Kinachonishangaza hiyo list kaandika nani?
Na kwann waandike jina la mtu halafu walikate? Haya mambo unabid kuwa makini kbla ya kuandika. Hiyo ni sawa na kumzushia mtu kafa
 
Siyo kumzushia tu ila pia kunamkanganyiko mkubwa wamefariki zaidi ya 33 wanafunzi Na walimu walikuwa wanne ambao walibaki kupishw wanafunzi wapande magari ya shule hakikisha Na wanafunzi walibaki wapande gari ya mwisho ambayo ndiyo hiyo iliyokodiwa ikiwa mbovu Na dereva kutoka kijiweni wakijua asubuhi wakiwa wanapenda wanatanguliza magari mawili yakwao wakisimamishwa na usalama barabarani watasema
tunagari tatu tunaenda kufanya mitihani hivyo hawaulizwi tena
 
RPC yupo sahihi,kauli ikikosewa huleta shida,basi wangemuhoji huyo OCD mkuu.
Soma vizuri Maelezo yangu RPC sio MUNGU kuwa haiwezi kukosa.

Nachosema ni ile taarifa ya awali ambayo ilimfanya yeye akatoka Ofisi au nyumbani kwake kwenda eneo la tukio aliyopewa na OCD wake ndiyo mwandishi anahitaji.

Hayo mengine sasa kuhusu taarifa kamili akifika eneo la tukio ataitoa,sasa mwandishi anamuuliza baadhi ya vitu vya msingi ambavyo kwa RCP lazima uwe umepewa na OCD wake akiwa eneo la tukio.

Lakini RPC alionyesha kabisa kutotaka kuhojiwa na mwandishi mpaka afike huko.Ndiyo nimetoa mfano kama ni Ngorongoro 400 km toka Arusha Rais Magufuli anakusubiri wewe tu ukatoe taarifa na yeye ndiye atoe salama za pole.

Ma RPC wabadilike ktk kutoa taarifa za matukio haiwezi kufika kila eneo la tukio kwa wakati Ma OCD wapo wawatumie pia.
 
Nop ilikuwa asubiriwe agathe facts ...then aripoti ...kauli yake huwa ni valid official statement kwenye matukio ya ajali jinai and so forth
Tunachoongea hapa ni kuwa RPC uko njiani kuelekea eneo la tukio kwa vyovyote vile huwezi kubuni safari ila umepewa taarifa na OCD wako ktk wilaya husika kama taarifa ya awali kwako na ukapima uzito wake ukaamua uende eneo la tukio.

Sasa Mwandishi wa habari mubashara anakupigia simu ili apate taarifa za awali kuhusu tukio na kuhabarisha umma wewe ukiwa ndiyo msemaji mkuu wa matukio kipolisi mkoa then hata zile taarifa za awali tu unakuwa ngumu kutoa ndiyo shida wakati unataarifa toka kwa OCD wako.

Kwanini usiku admit na kutoa taarifa taarifa za awali ulizozipokea toka kwa OCD ambaye yuko eneo la tukio then ikifika huko sasa utakuja na taarifa kamili.Sasa unaulizwa kuna waliofariki hata swali hilo unakata mujibu Mimi inanishangaza!!
 
Kinachonishangaza hiyo list kaandika nani?
Na kwann waandike jina la mtu halafu walikate? Haya mambo unabid kuwa makini kbla ya kuandika. Hiyo ni sawa na kumzushia mtu kafa
Na kwanini wasibadilishe tuu karatasi waka andika kwenye karatasi ingine kabla ya kuexpose huu ubahili huu
 
Back
Top Bottom