dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Kumbe inawezekana. ... wangefanya hivi kwenye barabara hususan zile kuu wakaondoa matuta ingekuwa safi sana.Yeah...hadi sehemu ambazo mifugo inapita kuna overpass or underpass
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe inawezekana. ... wangefanya hivi kwenye barabara hususan zile kuu wakaondoa matuta ingekuwa safi sana.Yeah...hadi sehemu ambazo mifugo inapita kuna overpass or underpass
Kabisa. Na wangeweka fence eneo linalopita barabara kwenye makazi. Inawezekana kabisa.Kumbe inawezekana. ... wangefanya hivi kwenye barabara hususan zile kuu wakaondoa matuta ingekuwa safi sana.
watu wa malori wakiwa wamekaa ameshika usukani,akili huwa zinawatoka kabisa.ukikutana nae barabarani jamaa anakusogezea mlori wake karibu kabisa halafu yuko speed...wanavulugu !!!!Kwenye kivuko cha reli wanapita vipi bila tahadhali au ndiyo viroba vina kuwa vimekolea kichwani!
Basi walikuwa wanafoji,kwa Sasa tani 50 hazipiti barabarani.watu wa jiwe sio wa enzi zile aiseNimebebewa sana saruji toka Tanga Cement na kampuni ya MASCO - Scania 113E semi zile zikibeba mifuko 1000 (tani 50); hili nina uhakika nalo unless walikuwa wanavunja sheria/kanuni au sheria/kanuni zimebadilishwa hivi karibuni.
... ingekuwa INFLAMMABLE?ingekua ndo mafuta ya kula saiz shangwe kila nyumba
Kuna watu wabishi aisee,usishangae kuwakuta wanachota ,washasahau mambo ya Msamvu Morogoro.... ingekuwa INFLAMMABLE?
Hiyo ngoma ina Tani 96... hilo lori/semi urefu wake wote ni fupi kuliko kichwa/engine ya hilo train. Hata liwe fully loaded (50 tons) bado ni jepesi kuliko just single engine ya train. Kila mbabe ana mbabe wake.
Wewe jamaa una vituko[emoji3][emoji3]Lori linaonekanaga kama toy kwenye battle na tren wakat ndio mtemi wa road.
Usiseme hivyo treni ikiwa na 40km/hr huwezi kufanya application ya brake kwa hapo hapo na ikasimama tena ukitumia emergency brake ndiyo hatari zaidi. Madereva wa magari hawapo makini hasa dar.hao madereva wa treni wanaendesha hovyo sana hawako makini na ukute hapo alikuwa anaovatake
Hapana kuna handle, button na switch mbali mbali.... hivi treni lina usukani?
Una uhakika mkuu? Treni inategemea reli yenyewe kukata kona hakuna usukani mule kuna handle, button na switch mbalimbalindio we unazani linakataje kona
SukariMbona umekuja mbio mbio? Chanzo cha ajali ni kipi?