Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

Watu 100 * 2 si mchezo tukumbuke wanaokufa kwenye majanga haya wana wategemezi lundo ingekuwa busara sasa kuangalia namna ya kuwasupport
Ndugulai mpka saiv wameshavuka iyo number saivi ni 200+, na kuhusu wategemezi kuna mamlaka naona imeamua laki tano zitolewe kwao, ni mpka pale watakapo waza haya yangetokea kwao wenyewe nadhani ndo wangeyatenda kwa uzalendo wanao utaja taja kirahisi tu, watanzania kuna mindset ya kipuuzii sana inakuaa kwa speed
 
utawala wa sheeria
 
Mkuu ZZK Navy iko chini ya Hussein Mwinyi,mbona umem skip ?
 
Una hoja nyepesi hata robo kilo hazifiki yaani! Kwa hiyo hapo napo unasubiri bk 7? Fedha nyingine bora kununua kondom.
 
Wewe hadi umri huo wa uzeeni umeifanyia nini Tanzania???
 
Huyo Mwenyekiti wa bodi aliyefukuzwa alikuwa Ukara?
 

Kama hoja ni kulipwa mshahara na serikali vipi walimu,manesi, madaktari, wao wamehusikaje katika hii ajali? Mkuu ungejenga hoja nzuri kumpinga zzk si kihoja hiki cha kulipwa mshahara na serikali maana hata madereva wa serikali nao wanalipwa na serikali japo sioni kwa vipi wanahusika na hii ajali.
 
Hakuna hoja ya msingi

Nahodha kamkabidhi Chombo day worker Waziri anahusikaje?
Hata Yeye Zitto Basi angejiuzulu Kwa Matokeo ya chama chake 2015
Nani kakwambia ni day worker? Kumbe na wewe ni walewale mnaoshadadia utetezi wa kijinga kama huo wa kujificha kwenye shamba la karanga? Kwa taarifa yako aliyeendesha kivuko ndiye nahodha wa siku zote ila alikuwa amesimamishwa kwa takribani miezi minne kwa tuhuma (za kimahusiano) na akaletwa huyo mnayedanganywa ndiye nahodha.
 
Mkuu tusaidie majibu hayo maswali ili nasisi tujue..
 
Kwa hiyo unajua wapinzani wanakusanya kodi za wananchi ili wazitumie kuleta maendeleo?
 

Mbona hiyo taarifa yako nayo Ni nyepesi Kama Yangu Kwa Kuwa haijaambatana Na ushahidi zaid ya blaa blaa tu
 
Duh,kwa akili hizi acha tuendelee kuwa mazuzu daima
Sijakuelewa mazuzu kwa namna ipi,kama mtu unashindwa kuongea vizuri basi bora kuwa Mtulivu tu yani bora kunyamaza tu maana sipendagi Matusi hayo ni mawazo yangu nayaheshimu Mwenyewe kadri ya mtazamo Wangu
 
Kujiuzulu ni njia moja katika nyingi za kuonesha uwajibikaji ila sio njia pekee; hivyo sio lazima kila linapotokea janga basi kila mhusika ajiuzulu.
 
Unajuaje kama mimi Ni ccm au sio ccm na swala la ccm limeingiaje hapa Wakati tunajadili hii Mada
 
Nenda mahakamani uwashitaki wanaosema uongo kwa vile wewe unaujua ukweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…