Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.
Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.
Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuenda kumpa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.
Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda mbele na kutokomea kusiko julikana.
Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.
Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara kwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.
Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.
Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuenda kumpa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.
Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda mbele na kutokomea kusiko julikana.
Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.
Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara kwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa