Ajali ya Mwendokasi, Dereva akimbia

Ajali ya Mwendokasi, Dereva akimbia

Nchi ya waziba viraka. Mji ramani zake zilichorwa zama zile nje ya mji ni magomeni, leo ramani hizo zinageuzwa ziwe za mji wenye maelfu ya watu wanaokuja Kati kati ya mji huku wakihitaji huduma ambazo Ramani ya mji haikuchorwa kuwa hivyo.
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Epuka kabisa tabia hiyo mkuu, cm na barabara ni vitu viwili tofauti
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Bwege sana Endelea kuchati na hao madem zako.
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Mungu bado ana mpango na wewe
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Siku nyingine usirudie hayo makosa, kuchati huku unatembea barabarani ni hatari sana.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.

Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.

Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.

Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.

Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.

Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Dereva hana kosa.
Barbara za mwendokasi watu wanazitumia utafikiri wako sitting room zao.
Dereva kaokoa maisha yake kwa hilo nampongeza.
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Ilibidi ugongwe ufe kabisa kwa uzembe wako.
Unachati na simu barabarani ukivuka, un faida gani?
 
Serikali ni kama imewaruhusu jamaa wajiendeshe nje ya sheria na kanuni za usalama barabarani.

Unapoona watumishi wa Mwendokasi wanawatunishia mpaka Polisi wasitumie barabara ile wakati wa dharura ujue kuna shida kubwa sana iliyotawaliwa na kiburi
Hapo hata nami nilishangaa sana, mfano ni wiki 2 tu zimepita hapo Kariakoo kuna majambazi walimpora Muhindi mfuko aliokuwa amehifadhia pesa, inamaana kama kuna foleni ndiyo basi tena hakuna msaada wowote kukabili hao majambazi maana wataondoka kiulaiiini bila wasiwasi wowote wa kufukuziwa na Polisi wakiwa wamepitia njia za mwendokasi.
 
Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.

Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.

Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.

Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.

Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.

Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
pole yake mtembea kwa miguu
 
Dereva hana kosa.
Barbara za mwendokasi watu wanazitumia utafikiri wako sitting room zao.
Dereva kaokoa maisha yake kwa hilo nampongeza.
Kwa eneo lile hakuna ambaye angemdhuru dereva.
Polisi walikuwepo na kituo cha wanamaji kipo pale jirani
 
Hapo hata nami nilishangaa sana, mfano ni wiki 2 tu zimepita hapo Kariakoo kuna majambazi walimpora Muhindi mfuko aliokuwa amehifadhia pesa, inamaana kama kuna foleni ndiyo basi tena hakuna msaada wowote kukabili hao majambazi maana wataondoka kiulaiiini bila wasiwasi wowote wa kufukuziwa na Polisi wakiwa wamepitia njia za mwendokasi.
Jamii tumejibebesha lawama kwa jeshi ĺote la polisi kwa makosa ya askari wachache wasio na uadilifu.

Polksi ni jeshi letu na tunapaswa kuwapa sapoti kutekeleza jukumu lao la ulinzi wa wote ndani ya nchi
 
Back
Top Bottom