funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Bado nasisitiza bodaboda hana kosa. Amechangamkia fursa ya abiria aliyekuwa na uhitaji wa dharulaNinachowapongeza polisi ni kumkimbilia majeruhi kwanza na kuzuia mabasi mengine ya mwendokasi yaliyokiwa yanakuja kwa kasi, ndipo dereva akapata mwanya kutoka nduki. Bodaboda amepandia mbele ya Mahakama Kuu.
Bodaboda aliyemchukua alikiwa anajua kabisa anamtorosha dereva kwa sababu alitokea nyuma ya dereva aliyekuwa anakimbia na dereva akamdandia wakatoka nduki
Polisi wakijaribu kumfukuza wakamkosa. Hawakuwa na means ya matairi