Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
- Thread starter
- #81
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?
Dharura ni kama vile unavyoshikwa na tumbo la makande na ukienda chooni unakuta kipo occupied na unapaswa kusubiri wakati rinda zinashishwa kukaba mzigo usichuruzike mwendo wa kulipuka