Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
🤣🤣🤣🤣🤣Jmn jmn sina kwinginee zaidi ya hapa
Haya bwana labda umesahauu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Jmn jmn sina kwinginee zaidi ya hapa
Wengi wao n wajeshi Magu aliwaweka wengi Sana ndo mana Wana vibuli.Madereva wa hayo mabasi wanajikuta miamba sana kuna mmoja alikatizaga taa nyekundu na spidi kama zote polisi alipomsimamisha akaanza kuporomosha mitusi ya nguoni, ooh mimi mwanajeshi tena nimekuzidi cheo unaanzaje kunisimamisha ,sijui mbwa wewe sijui nini yaani kipindi kile nilijisikia aibu kwa niaba ya askari yule wa usalama barabarani, inatakiwa wawe wanawajibishwa kama watu wengine tu, hakuna mtu mwenye ruhusa ya kuua mwenzake hata kama unaendesha treni
Boda boda alie mpakiza dereva wa mwendokasi ana roho ngumu sanaKumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.
Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.
Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.
Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.
Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.
Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Kwanini unachati barabarani?Siyo zuzu basi tu kuna Kama kitu kilinifunga kwa muda, maana hadi wale wafanyabiashara ndogo ndogo walikua wananiita kwa sauti lakini eti nilikua siwaasiki kabisa hadi gari iliposimama karibu yangu ndiyo ufahamu ukarudi na kuaanza kusikia hadi yale Makelele ya wafanyabiashara ndogo ndogo tena!!!
Halafu wengi wasichokijua hao madereva wengiwao ni watumishi wa jeshi la ulinziKumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.
Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.
Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.
Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.
Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.
Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Yàani siyo kawaida yangu,sema siku hiyo ilitokea tu,na sijui kwa Nini!!Kwanini unachati barabarani?
Mbona umeandika kama unakimbizwaa!! Rudi kusoma!Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.
Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.
Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.
Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.
Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.
Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Yaani unavuka barabara huku unachat? Kwanini usisubiri umalize kuvuka ndio uendelee na chatin zako?Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Yaani nilipatwa na hisia flani hivi Kama vile nimesha vuka barabara,kumbe nilikua bado niko barabarani,naweza sema ubongo wangu siku hiyo uliniongopea!!Yaani unavuka barabara huku unachat? Kwanini usisubiri umalize kuvuka ndio uendelee na chatin zako?