Ajali ya Mwendokasi, Dereva akimbia

Ajali ya Mwendokasi, Dereva akimbia

Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.

Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.

Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.

Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.

Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.

Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Umeshaita mwendokasi, ina maana kila kitu ni kasi. Ukivuka zebra ya mwendokasi unatakiwa pia uende kwa kasi. Watu tuna tabia ya kujisahau sana ukifika kwenye zebra.
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Pale mm nilisha wahi koswa koswa niliangalia upande mmoja kutoka kivukoni sikungalia upande wa kutoka posta ila naanza kuvuka tu nilisikia honii harafu jamaa wanajua kabisa pale kuna zebra ila speed wanazokuja nazo sio kabisa...wanatakiwa wawe wastaarabu kwa kweli sehem za watu wengi wapite taratibu.
 
Umeshaita mwendokasi, ina maana kila kitu ni kasi. Ukivuka zebra ya mwendokasi unatakiwa pia uende kwa kasi. Watu tuna tabia ya kujisahau sana ukifika kwenye zebra.
Je ndivyo sheria ya barabarani inavyoelekeza au uporipori wako ndo unavyokuongoza?
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Unachart kabisa kama unaingia ndani kwa Baba yako, na ungegongwa ungemlaumu dereva daa!
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
We nae unaonekana ni zuzu sana.

Wangekugonga utawanyike mapafu.
 
Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.

Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.

Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.

Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.

Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.

Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Hata kama ni zebra lazima uangalie usalama wako sio kwasababu ni zebra unaingilia tu kama unacheza mchezo wa kamba, gari lenyewe kubwa vile kwanini usisubili lipite? Tujiongezage nasisi jamani.
 
waliopanga na kupitisha plan za huu mradi waliwaza makusanyo na mfumo wa uendeshaji wa yale magari uwe kama wa treni
Dereva yuko sahihi kukimbia kwani wangempiga.
Bila shaka atajisalimisha.
Siku hizi wavukaji kwenye zebra wanatamani kulala kabisa sijui nini kimewapata watu.
Ukisimama kuwapisha wapite ndio kwanza wanatamani kusimama barabarani
 
Hata kama ni zebra lazima uangalie usalama wako sio kwasababu ni zebra unaingilia tu kama unacheza mchezo wa kamba, gari lenyewe kubwa vile kwanini usisubili lipite? Tujiongezage nasisi jamani.
Mkuu wavuka zebra sasa wana kiburi sana utafikiri wana miili ya spare
 
Dereva yuko sahihi kukimbia kwani wangempiga.
Bila shaka atajisalimisha.
Siku hizi wavukaji kwenye zebra wanatamani kulala kabisa sijui nini kimewapata watu.
Ukisimama kuwapisha wapite ndio kwanza wanatamani kusimama barabarani
Huwa nawaona mtu anavuka kama anaingia kwa mpenzi wake, huwa nawashangaa sana
 
Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Aisee
 
Wakazi wa Jiji la DSM pia ni wakaidi na wajuaji hawapendi kufuata sheria zilizo wekwa.
Mfano Mbezi Stendi ya mabasi ya Magufuli kumejengwa njia ya juu ya kuvukia watembea kwa miguu lakini cha kushangaza unakuta mijitu inalazimisha kuvuka kwenye barabara kuu huku wakipata tabu ya kuinua viunzi vilivyo wekwa kuzui wasipite!!! inashangaza sana!! wakati mwengine watembea kwa miguu wanagongwa kwa sbabu ya kujitakia.
 
Back
Top Bottom