Ajali ya Mwendokasi na Range Rover Mtaa wa Kisutu na Samora

Ajali ya Mwendokasi na Range Rover Mtaa wa Kisutu na Samora

gstar

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
790
Reaction score
1,373
Ajali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.
PXL_20240615_211909996.jpg
PXL_20240615_211354950.jpg
 

Attachments

  • PXL_20240615_212519663.mp4
    42.6 MB
Back
Top Bottom