Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
UNANIFOKEA 😂😂😂Em badili kwanza avatar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNANIFOKEA 😂😂😂Em badili kwanza avatar
Hapana loveUNANIFOKEA 😂😂😂
Ya kitengo?Tanzania One.... nilikuwepo ✌️
Sawa ila kwa ufahamu wangu wa hayo maeneo.Johari Rotana iko Sokoine Drive hapo ni Samora
Na usiku kuanzia saa 3 afande Bonge uwa anakaa pale kwenye kibao cha Jmall au Aramex anavizia wanaovuka na red. Ukivuka na red na akakuona na Baby walker lazima akuungie na pikipiki mpaka akudake.Nadhani anamaanisha Samora avenue na Morogoro road kwasababu naona jengo la PSSSF (J mall). Na hapo kuna traffic light lazima mmoja kapita taa nyekundu.
Hapo bila kusimama huoni bus likija. Afadhali sasa hivi kuna taa kabla ya taa kulikuwa na foleni kali sana.
Mkuu Johari Rotana iko Sokoine Drive opposite na Azam Marine offices. PSSSF Tower ipo makutano ya Samora avenue na Morogoro road ndipo ajali ilipotokea.Sawa ila kwa ufahamu wangu wa hayo maeneo.
Jengo ni hilo hilo tu, mbele kuna hoteli nyuma kuna duka la nguo toka Spain na ofisi za TRA.
Hiyo kona hapo ipo karibu na psssf tower , hilo gari la mwendokasi limechepuka toka barabara yake na kuingia huko nje karibu na psssf.
Duh kweli wewe ni mtumiaji wa hio barabara.Na usiku kuanzia saa 3 afande Bonge uwa anakaa pale kwenye kibao cha Jmall au Aramex anavizia wanaovuka na red. Ukivuka na red na akakuona na Baby walker lazima akuungie na pikipiki mpaka akudake.
Haha sawa mkuu tusiendelee kubishana ila ukipata nafasi pita tena hayo maeneo.Mkuu Johari Rotana iko Sokoine Drive opposite na Azam Marine offices. PSSSF Tower ipo makutano ya Samora avenue na Morogoro road ndipo ajali ilipotokea.
Mchana mbele ya Bank ya NBC, kwenye hiyo Samora Road kwenye Zebra ya pale Kaburi Moja ukipita bila kusimama. Unakutana na traffic kwenye parking za Exim Bank wanakusubiri ukilegea unaandikiwa cheti mapemaDuh kweli wewe ni mtumiaji wa hio barabara.
Upo sahihi mkuu. Hapo ni makutano ya Samora Avenue na Morogoro Road.Mkuu Johari Rotana iko Sokoine Drive opposite na Azam Marine offices. PSSSF Tower ipo makutano ya Samora avenue na Morogoro road ndipo ajali ilipotokea.