Kelvin35
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 698
- 1,112
hawa watu nikiwakutaga kwenye uzi wa mtu, basi, hapo najua kesi imeisha.... Naondoka zanguKwa nini hii mijistory yenu ya kipuuzi msiwe mnaifanyia huko inbox?yani mwenzenu kaleta uzi wa maana then nyie mnauharibu kwa mijistory ya kingese.