Ajali ya Mwendokasi na Range Rover Mtaa wa Kisutu na Samora

Ajali ya Mwendokasi na Range Rover Mtaa wa Kisutu na Samora

Waheshimu njia za mmwendokasi sasa, hivi sasa nidhamu imeshuka sana kila mtu akiwa na madaraka kdg tu nae anajifanya yupo matawi ya juu kujitenga na watu wa kawaida, unakuta askari ana mbavu mbili (V) nae njia ya kawaida haitaki yeye na mwendo kasi road tu hata kama hakuna foleni. MAMA awe mkali sasa kama Mzee Magu
 
T ONE Ni Nani?
T one ndio mwenye makosa lkn kwasababu anasukuma Range DEREVA wa mwendokasi anaweza akageuziwa kibao kwamba Ni mlevi wakati mlevi anajulikana.
 
Ajali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.View attachment 3018344View attachment 3018345
mabasi haya yanakimbiaga sana mpaka unajiuliza, huyu kvunta bangi au ni kichaa
 
Ndiyo akili zako zilipoishia. Humu hakuna wa kununua hilo kota lako. Kudanga unakujua wewe? Yaani weekend yangu unilazimishe wewe kulala unaingiliwa vibaya wewe. Sikupi kiki, sikujibu toa povu uwezavyo hainibadilishi chochote. Kunguru wahed Tchao mbuzi wa kafara
fyddell kukujibu wewe ona hilo ngese lilivyotoa povu. Halina mtu wa kuongea naye linanirukia kwa kuanza kututukana.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
DONE
Aisee nimeshindwa kuelewa ni ngonjela, mapambio, michano au michambo, shikamo wanawake.
 
Ajali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.View attachment 3018344View attachment 3018345
Hii ajali ingetokea mchana ingeua watu wengi tu. Kuna pedestrians wengi hapo.
 
Back
Top Bottom