fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Nenda utakutana na wakeshaji wenzako, nowadays siingii kule utoto mwingi.Niache huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 toka mwaka jana umeniona nakesha tena? Yaani nimemiss kukesha, narudi kikosini 😜😜😜😜😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda utakutana na wakeshaji wenzako, nowadays siingii kule utoto mwingi.Niache huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 toka mwaka jana umeniona nakesha tena? Yaani nimemiss kukesha, narudi kikosini 😜😜😜😜😜
😂😂😂Humu wote wakeshaji ni makapera sasa tulia uleee ndoaNiache huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 toka mwaka jana umeniona nakesha tena? Yaani nimemiss kukesha, narudi kikosini 😜😜😜😜😜
🙄🙄🙄Tanzania One.... nilikuwepo ✌️
Basi sirudi, namuwazia T moko. Analaani vikali sana muda huu. Anapotezewa muda 😊Nenda utakutana na wakeshaji wenzako, nowadays siingii kule utoto mwingi.
Pombe zitakuwa zimekata🤣🤣Basi sirudi, namuwazia T moko. Analaani vikali sana muda huu. Anapotezewa muda 😊
Oooh kumbe, sikua najua hili.Mwisho saa sita usiku
Mtaa wa Kisutu na Samora inakutana wapi?Ajali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.View attachment 3018344View attachment 3018345
Jamaa kaandika kama anavyotamka 🤣🤣Sio mchezo mavitu ya Lengilover hayo
Hamu ya kutuhabarisha 😂😂😂Jamaa kaandika kama anavyotamka 🤣🤣
mabasi haya yanakimbiaga sana mpaka unajiuliza, huyu kvunta bangi au ni kichaaAjali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.View attachment 3018344View attachment 3018345
Nadhani anamaanisha Samora avenue na Morogoro road kwasababu naona jengo la PSSSF (J mall). Na hapo kuna traffic light lazima mmoja kapita taa nyekundu.Na mimi najiuliza hili swali.
Aisee nimeshindwa kuelewa ni ngonjela, mapambio, michano au michambo, shikamo wanawake.Ndiyo akili zako zilipoishia. Humu hakuna wa kununua hilo kota lako. Kudanga unakujua wewe? Yaani weekend yangu unilazimishe wewe kulala unaingiliwa vibaya wewe. Sikupi kiki, sikujibu toa povu uwezavyo hainibadilishi chochote. Kunguru wahed Tchao mbuzi wa kafara
fyddell kukujibu wewe ona hilo ngese lilivyotoa povu. Halina mtu wa kuongea naye linanirukia kwa kuanza kututukana.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
DONE
Hii ajali ingetokea mchana ingeua watu wengi tu. Kuna pedestrians wengi hapo.Ajali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.View attachment 3018344View attachment 3018345