hawa watu nikiwakutaga kwenye uzi wa mtu, basi, hapo najua kesi imeisha.... Naondoka zanguKwa nini hii mijistory yenu ya kipuuzi msiwe mnaifanyia huko inbox?yani mwenzenu kaleta uzi wa maana then nyie mnauharibu kwa mijistory ya kingese.
Mpotezee tu huyo jamaa kipenzi changu.Ndiyo akili zako zilipoishia. Humu hakuna wa kununua hilo kota lako. Kudanga unakujua wewe? Yaani weekend yangu unilazimishe wewe kulala unaingiliwa vibaya wewe. Sikupi kiki, sikujibu toa povu uwezavyo hainibadilishi chochote. Kunguru wahed Tchao mbuzi wa kafara
fyddell kukujibu wewe ona hilo ngese lilivyotoa povu. Halina mtu wa kuongea naye linanirukia kwa kuanza kututukana.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
DONE
Ipi iliyofichwa hapo?Hivi Sababu ya kuficha plate namba Ni nini
One less bus. Usafiri utakuwa mgumu zaidi, maana hilo ndio linaenda kutupwa
Project ya ajabu sana hii. Wanakusanya hela tu, gari likiharibika/ likipata ajali, hamna kutengeneza, linatupwa yard!!!!One less bus. Usafiri utakuwa mgumu zaidi, maana hilo ndio linaenda kutupwa tena, halitengenezwi
Ndio hapo hapo, baada ya kituo cha mwendokasi cha Kisutu inafuata junction ya Samora Avenue kuna mataa na kuna Kona kali kwa mbele, mwendokasi alikuwa kwenye spidi kali kwa sababu taa zilimruhusu, huyu mwenye Range akajua kwamba atamuwahi ziliumana pale kwenye junction na kuburuzwa pembeni, so kimsingi Mwenye gari ndogo ndio mwenye makosa.Nadhani anamaanisha Samora avenue na Morogoro road kwasababu naona jengo la PSSSF (J mall). Na hapo kuna traffic light lazima mmoja kapita taa nyekundu.
Hapo bila kusimama huoni bus likija. Afadhali sasa hivi kuna taa kabla ya taa kulikuwa na foleni kali sana.
Madereva wa mwendokasi usiku wanakuwa kama hawana judgment capabilities. Defensive driving requires hata kama ni taa green kwako, ukifika junction unapunguza mwendo.Ndio hapo hapo, baada ya kituo cha mwendokasi cha Kisutu inafuata junction ya Samora Avenue kuna mataa na kuna Kona kali kwa mbele, mwendokasi alikuwa kwenye spidi kali kwa sababu taa zilimruhusu, huyu mwenye Range akajua kwamba atamuwahi ziliumana pale kwenye junction na kuburuzwa pembeni, so kimsingi Mwenye gari ndogo ndio mwenye makosa.
Hii gari mara nyingi inapaki pssf twin tower pale chiniAjali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.View attachment 3018344View attachment 3018345
Kwa ganzi au kavukavu? Baada ya hapo unaipeleka kisimani ikutane na maji ya motoNanenepesha dushe, kwa kutumia nyuki wadogo wadogo. 🙃🙃🙃
Akili za usiku, mods wamelala 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Umeachika km mimi? 😂😂😂Nimeachwa nalalaje? 🙄🙄🙄
Utampata wakoNimeachwa nalalaje? 🙄🙄🙄
Kama ni hapo psssf naona ni karibia kabisa na johari rotana.Nadhani anamaanisha Samora avenue na Morogoro road kwasababu naona jengo la PSSSF (J mall). Na hapo kuna traffic light lazima mmoja kapita taa nyekundu.
Hapo bila kusimama huoni bus likija. Afadhali sasa hivi kuna taa kabla ya taa kulikuwa na foleni kali sana.
Kwaiyo kama ilikua saa sita ishapita litakua limebeba magendo limeua nyau nalo😂😂Oooh kumbe, sikua najua hili.
Mbona mm bado nakupenda love 😔Umeachika km mimi? 😂😂😂
Njoo tuunde kikundi cha walioachwa
Tatizo wapare hamuaminiki 😂Mbona mm bado nakupenda love 😔
Niamini mm plz, afu sijapenda hy avatarTatizo wapare hamuaminiki 😂
Johari Rotana iko Sokoine Drive hapo ni SamoraKama ni hapo psssf naona ni karibia kabisa na johari rotana.
Dereva wa Range bila shaka atakua na makosa.
Hapana wapare jau sana.Niamini mm plz, afu sijapenda hy avatar
Em badili kwanza avatarHapana wapare jau sana.