Ajali ya ndege Bukoba ni matokeo ya uzembe na kufanya kazi kwa mazoea.Tuwajibishane ili tusirudie makosa

Ajali ya ndege Bukoba ni matokeo ya uzembe na kufanya kazi kwa mazoea.Tuwajibishane ili tusirudie makosa

SAsa awajibishwe nani wakati rubani alishakufa. Rubani kwann alitua bila kuangalia kama runway ipo clear angalau kwa kilometa 3 mbele yake. Haya ndo mafunzo ya awali kabisa usitue kama huoni mbele, kwa gari usiovertake kabla ujaona mbele
 
Una wazimu si bure! Unaambiwa bila msaada wa kasia huo mlango usingefunguka! Hapo MAJALIWA siyo wa muhimu?
Tumerudia kusema na kuandika hapa haya;
1. Huwezi kuufungua ule mlango wa dharula wa ile ndege ukiwa nje.

2. Mlango ule wa dharula unafunguka kutokea ndani na wala hauhitaji msaada wowote kutokea nje ili kuweza kufunguka.

3. Kasia haliwezi kuuvunja ule mlango wa ndege.

4. Watu walionusurika kwenye ile ajali wanasema kuwa mara baada ya kuufungua ule mlango wa dharula wao wenyewe na kufanikiwa kutoka nje na kukaa juu ya bawa la ndege, iliwachukua kama dakika tano baadaye ndipo wavuvi wakafika hapo walipo ili kuanza kuwahamishia kwenye mitumbwi yao.

Sasa ushujaa wa kipekee wa Majaliwa unatokea wapi?
 
Ajali zote za majini wavuvi ndio huwa waokozi tegemezi, police marine, Navy hawana vifaaa vya uokozi majini zaidi ya boti hawana airlifting bag yaani maboya ya kuizuia chombo kisizame, hawana drones, maboya yanayoelea mfano wa uwanja wa kuwaweka watu wanaowaokoa juu huku wakiendelea kupata huduma ya kwanza. Tuwe na vifaa cha kwanza kabla ya ndege au meli kuzama ni kuifunga maboya isizame huku zoezi la uokozi likiendelea. Mfano huduma ya feri kigamboni inatakiwa mda wote pawepo waokozi fully wako stand by dakika 3 nyingi maana ajali huwa hazipigi hodi.
 
Tumerudia kusema na kuandika hapa haya;
1. Huwezi kuufungua ule mlango wa dharula wa ile ndege ukiwa nje.

2. Mlango ule wa dharula unafunguka kutokea ndani na wala hauhitaji msaada wowote kutokea nje ili kuweza kufunguka.

3. Kasia haliwezi kuuvunja ule mlango wa ndege.

4. Watu walionusurika kwenye ile ajali wanasema kuwa mara baada ya kuufungua ule mlango wa dharula wao wenyewe na kufanikiwa kutoka nje na kukaa juu ya bawa la ndege, iliwachukua kama dakika tano baadaye ndipo wavuvi wakafika hapo walipo ili kuanza kuwahamishia kwenye mitumbwi yao.

Sasa ushujaa wa kipekee wa Majaliwa unatokea wapi?
Kuwatoa kwenye bawa na kuwaweka nchi kavu.Mpeni majaliwa haki yake
 
Kuwatoa kwenye bawa na kuwaweka nchi kavu.Mpeni majaliwa haki yake
Kama huo ndio ushujaa, basi wapewe wavuvi kiujumla wao. Maana manusura wa ile ajali hakuna anayemtaja Majaliwa bali wanataja wavuvi kiujumla wao, na wavuvi hawamtaji Majaliwa bado wanajitaja wao wenyewe kwa ujumla wao.

Note: Hivi una habari kuwa Majaliwa naye aliokolewa baada ya kuanguka, kupoteza fahamu na kuelekea kuzama? Shujaa wake ni nani?
 
Kama huo ndio ushujaa, basi wapewe wavuvi kiujumla wao. Maana manusura wa ile ajali hakuna anayemtaja Majaliwa bali wanataja wavuvi kiujumla wao, na wavuvi hawamtaji Majaliwa bado wanajitaja wao wenyewe kwa ujumla wao.

Note: Hivi una habari kuwa Majaliwa naye aliokolewa baada ya kuanguka, kupoteza fahamu na kuelekea kuzama? Shujaa wake ni nani?
Ashapewa haina rivasi hio
 
Tumerudia kusema na kuandika hapa haya;
1. Huwezi kuufungua ule mlango wa dharula wa ile ndege ukiwa nje.

2. Mlango ule wa dharula unafunguka kutokea ndani na wala hauhitaji msaada wowote kutokea nje ili kuweza kufunguka.

3. Kasia haliwezi kuuvunja ule mlango wa ndege.

4. Watu walionusurika kwenye ile ajali wanasema kuwa mara baada ya kuufungua ule mlango wa dharula wao wenyewe na kufanikiwa kutoka nje na kukaa juu ya bawa la ndege, iliwachukua kama dakika tano baadaye ndipo wavuvi wakafika hapo walipo ili kuanza kuwahamishia kwenye mitumbwi yao.

Sasa ushujaa wa kipekee wa Majaliwa unatokea wapi?
Inaonesha hujui ndege za ATR unaongea tu. Mlango uliofunguliwa ni ule wa nyuma kushoto kwa ndege ambao una ngazi. Na huu mlango huwezi kuufungua mtu wa upande mmoja. Lazima mmoja awe ndani akifungua (Binti na Victor) na nje kuwepo mtu aushikilie kwa mti (Kasia ya Majaliwa). Sisemi Majaliwa alijua hii kitu ilia yeye alikuwa anagongagonga na kasia lake akidhani anaweza kuusukumiza ndani (ambavyo asingeweza) ila kwa bahati kulikuwa na waliokuwa ndani wakiufungua. Kidendo cha kijana majaliwa kuifikia ndege na kuwa na dhamira ya kuokoa ni kitendo pekee cha ushujaa.
IMG_7151.jpeg
 
Kama huo ndio ushujaa, basi wapewe wavuvi kiujumla wao. Maana manusura wa ile ajali hakuna anayemtaja Majaliwa bali wanataja wavuvi kiujumla wao, na wavuvi hawamtaji Majaliwa bado wanajitaja wao wenyewe kwa ujumla wao.

Note: Hivi una habari kuwa Majaliwa naye aliokolewa baada ya kuanguka, kupoteza fahamu na kuelekea kuzama? Shujaa wake ni nani?
Wewe una matatizo si bure!! Hukujua aliokolewa kivipi na kilichomsababisha mpaka aokolewe!!
 
Inaonesha hujui ndege za ATR unaongea tu. Mlango uliofunguliwa ni ule wa nyuma kushoto kwa ndege ambao una ngazi. Na huu mlango huwezi kuufungua mtu wa upande mmoja. Lazima mmoja awe ndani akifungua (Binti na Victor) na nje kuwepo mtu aushikilie kwa mti (Kasia ya Majaliwa). Sisemi Majaliwa alijua hii kitu ilia yeye alikuwa anagongagonga na kasia lake akidhani anaweza kuusukumiza ndani (ambavyo asingeweza) ila kwa bahati kulikuwa na waliokuwa ndani wakiufungua. Kidendo cha kijana majaliwa kuifikia ndege na kuwa na dhamira ya kuokoa ni kitendo pekee cha ushujaa.View attachment 2428650
Ndugu naona unahamisha goli. Ngoja tuweke kumbukumbu sawa hapa JF.

1. Tumeelezwa mlango uliofunguliwa ulikuwa ni mlango wa dharula. Usilazimishe kuzungumzia mlango wa kawaida wa ndege ambao ndio una namna ya kufunguliwa ndani na nje, na aliye nje ni lazima awe na uelewa kuhusu uzuiaji wake. Na mlango wa dharula wa ndege ya ATR unafunguliwa kutokea ndani.

2. Maelezo ya manusura wanasema waliweza kuufungua ule mlango wao wenyewe pasipo msaada wowote kutoka nje. Wavuvi waliofika kutoa msaada walikuja baadaye baada ya wao kuufungua mlango, kutoka nje na kukaa juu ya bawa.

3. Maelezo ya Majaliwa ni kuwa, yeye mwenyewe aliweza kuufungua ule mlango kwa kuuvunja kwa kasia lake la mbao kisha akaanza kuwatoa wahanga kutoka ndani ya ndege.


Pima mwenyewe, ukweli na uhalisia.
Je, Majaliwa alikuwa ni shujaa wa ile ajali?
 
Mi naona tusiwe na wivu na Majaliwa, na wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, hata kama hakuokoa ila kama alishiriki hata Kwa asilimia 1 kuokoa basi anastahili, na pia hiyo isiwe hoja kubwa, hoja kubwa ni kujifunza hii ajali ilisababishwa na nini na Kwa nini vyombo vinavyousika na uokoaji vilishindwa kufanya kazi yake Kwa wakati Hadi kuondoka na wapendwa wetu 19. Ila tukianza kusema kati ya Maja na walionusulika
nani anasema ukweli bas hatutaweza kujua chanzo na kujifunza tufanyeje ili zisijirudie Tena. Mfano kuweka taa za kuongoza ndege kutua, kuwe na control tower, kuwe na boti na zana zote za uokoaji, watu wenye mafunzo na mengine kadha wa kadha
 
Ndugu naona unahamisha goli. Ngoja tuweke kumbukumbu sawa hapa JF.

1. Tumeelezwa mlango uliofunguliwa ulikuwa ni mlango wa dharula. Usilazimishe kuzungumzia mlango wa kawaida wa ndege ambao ndio una namna ya kufunguliwa ndani na nje, na aliye nje ni lazima awe na uelewa kuhusu uzuiaji wake. Na mlango wa dharula wa ndege ya ATR unafunguliwa kutokea ndani.

2. Maelezo ya manusura wanasema waliweza kuufungua ule mlango wao wenyewe pasipo msaada wowote kutoka nje. Wavuvi waliofika kutoa msaada walikuja baadaye baada ya wao kuufungua mlango, kutoka nje na kukaa juu ya bawa.

3. Maelezo ya Majaliwa ni kuwa, yeye mwenyewe aliweza kuufungua ule mlango kwa kuuvunja kwa kasia lake la mbao kisha akaanza kuwatoa wahanga kutoka ndani ya ndege.


Pima mwenyewe, ukweli na uhalisia.
Je, Majaliwa alikuwa ni shujaa wa ile ajali?
Katika majengo yanayotumiwa na watu wengi ( public) au yenye urefu fulani kunatakiwa kuwa na mlango wa tahadhari. Mlango huo haupaswi kuwa na vitasa vya kawaida vinavyohitaji funguo kufunguka kwa sababu unatakiwa kufunguka kwa haraka na uhakika pakitokea ajali. Aidha, unatakiwa uweze kufunguliwa na mtu yeyote. Kinachowekwa kwenye milango hiyo ni " panic bolts" ambazo ukiziwekea presha kidogo inafunguka. Lakini kwa kuwa "panic bolts" ni aghali ( na hofu ya kuibiwa) watu wanaweka vitasa vya kawaida ambavyo vinahitaji funguo.Wengine wanaweka grill kabisa kuzuia watu kuuvunja kutoka nje kwa urahisi.

Principle hii hii ipo kwenye mlango wa dharura wa ndege. Ni lazima uweze kufunguka kiurahisi kutoka ndani bila uhitaji wa msaada wa mtu aliyekuwa nje kwa sababu ajali inaweza kutokea mahali ambapo hamna watu. Ndio maana inasisitizwa abiria wanaokaa kwenye huu mlango wawe watu wazima na sio watoto wadogo.
Unachosema ni sahihi. Shujaa hakuwa Majaliwa peke yake. Kinachosikitisha ni kuwa kwa kufanya hivi wale ambao ndio waliohusika katika kuwatoa abiria kutoka ndani walisahaulika. Tunajua jina la Majaliwa lakini hatujui majina ya yule mhudumu na jamaa aliyekuwa mlangoni.

Amandla...
 
You have analyzed beyond reasonable doubt. Wale wanasiasa wa kwenda na upepo na wale waandishi wa habari wajinga wanaoenda kwenye press ya waziri na kuanza kuuliza nani alifungua mlango badala ya kuulizia chanzo cha ajali natamani wangeisoma hii.
 
PM ajiudhulu Kwa kosa gani boss?
uzi mzuri ila kujifunza it's no kwa uzuzu wa watanzania, tungejifunza baada ya ajali ya MV BUKOBA, ziwa lile halina kabisa life saver boats, wala hakuna kikosi maji cha police, PM alitakiwa ajiuzuru as soon as possible, but maisha yataendelea na mazuzu watasahau issue hii kama ile ajali ya Mh.Mbunge wa Ludewa (rip)
 
Pamoja kwamba eti ripoti kamili inaweza kutumia mwaka1 kabla ya kupatikana. Huu ni wakati muafaka kujua mawasiliano ya rubani na waongoza ndege, control tower ya mwanza.
1. Je rubani alikuwa anapatikana kea mawasiliano na maelezo kabla na baada ya ajali?
2. Je kabla ya ajali alieleza anakwenda kutua au anarudi Mwanza?
3. Je ndege yenyewe, rubani alieleza ina itirafu yoyote kabla ya ajali?
Tukipata hayo majibu, umma utapata unafuu, kupunguza ngonjera.
 
Swali ndugu yangu Barafu.

Kwenye issue ya Mlango unaozungumziwa ulikuwa ni ule wa "emmergency exit" au hii milango ya kawaida ya mbele na nyuma?.

Je "emmergency exit" doors za ATR zinafunguka kwenda chini na kuwa ngazi balanced na small hydraulic cylinders left and right au ni ule unaofunguka kwa kwenda juu ukifyatua latch kwa ndani?
Mkuu mimi pia nina swali kwa barafu, je Majaliwa kama Mvuvi au mwanika dagaa wa kawaida, aliwezaje kujua kama ndege ina emergency exit door? Au alifungua mlango wa kawaida? Kwenye kufungua kwa kutumia kasia sina shaka maana inawezekana wakati anapiga na kasia lake then mtu wa ndani akafungua so yeye akajua ndiye kafungua. All in all anahitaji kupongezwa
 
PM ajiudhulu Kwa kosa gani boss?
Kama wewe unaona hakuna kosa la kiwajibikaji hapo kwa PM,mjadala huu ni mfu, PM ni serial liar na kwangu amepoteza ile confidence yangu, huwezi kuliongopea Taifa na still uka walk free
 
Kama wewe unaona hakuna kosa la kiwajibikaji hapo kwa PM,mjadala huu ni mfu, PM ni serial liar na kwangu amepoteza ile confidence yangu, huwezi kuliongopea Taifa na still uka walk free
Wacha kujitoa akili boss nimekuuliza amefanya kosa gani au kipi kimetokea akashindwa kukisimamia Kama Waziri mkuu kwenye hyo ajali ya ndege
 
Back
Top Bottom