Yani nilishasema nikikaona na magwanda yake ya mchongo ni katakula fimbo mpaka kaende kakamsimulie mama yake. Vijana wahuni wa kijiweni wanachukua point mbele ya watanzania mapoyoyoKwahiyo dogo majaliwa ni kama mandoga,.aliepigwa ndio anapata umaarufu pesa.
Umeandika haya ukiwa umetoa lock!?[emoji23]Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??
Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Mkuu wangerudije mwanza wakati ndege haikuwa na mafuta? Hii report haina ukweli wowote, kama ndege ingekuwa na mafuta angerudi mwanza, hakuna rubani mjinga wa kupeleka ndege majini kama hakuna hali ya hatari.Bongo ujinga hauishi...
Kutokuwa na control tower sio hoja, kuna viwanja vingi bongo havina control tower na uongozaji upo.
Issue ni decision making as quoted from the report;
"Given this type of weather at Bukoba airport, the pilot
should have chosen to divert to Mwanza or to circle around until the weather
condition improved."
🤣🤣🤣🤣Hapa walioandika ripoti wanaaandika kutokea wapi? Mbona hakuenda kuopoa hata maiti tu?
Ndio maaana maana nasema ukisoma Sana utaishia kutunza vitabu kwenye kabati.
wewe pambania pesa tu ndio maana wengine elimu wanaipuuza Kwa SASA.
We ndo utakuwa mpumbavu kuamini mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa kupigwa na kasia, kwanza mlango unafunguliwa kwa nje kumbuka, hakukuwa na mvuvi pale wavuvi wa kwanza walifika dak 5 baada ya abiria kuwa weshaning'inia mlangoni.Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
Haina utamu tena wameshaipoza kwa Dr. BASHIRUKazi imeanza. New chapter.
Sidhani kama umeisoma report, kama umeisoma nenda kaisome vizuri kwa mala nyingine, rubani hakupeleka ndege ziwani, uwanja ulishaonekana hivyo wakaamua kutua, kilichotokea ndege ikiwa inatua hakijulikani sababu inaonekana ni kama ndege ilibebwa na tufani na kujikuta majini tena ikiwa imegeuka, viashiria vingi vinaonesha haikuwa normal emergency landing.Mkuu wangerudije mwanza wakati ndege haikuwa na mafuta? Hii report haina ukweli wowote, kama ndege ingekuwa na mafuta angerudi mwanza, hakuna rubani mjinga wa kupeleka ndege majini kama hakuna hali ya hatari.
Tuseme ilikuwa na mafuta na ikatokea shida nyingine ya kiufundi, labda ile wanayosema tail ziligoma kutoka, kama ni shida ya tail kugoma kutoka na ndege ina mafuta ilibidi wawaandae mwanza ndege irudi mwaza wakute mazingira ya kuitua ziwani mwanza yalishaandaliwa maana dk 45 zingetosha kuandaa mazingira ya uokoaji.
Itoshe kusema ndege haikuwa na mafuta that's all.
Tulishashtuka kitambo tu. Kwahiyo hiko kichwa kilivyoharibika kwa akili yako unakubaliana na maneno ya majaliwa kuwa aliwakuta marubani na akawasiliana nao kuwa avunje kioo na baada ya kufuata kishoka akakatazwa asivunje kioo AKAWAAGA MARUBANI?Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
Hii nchi ina wataalamu wa hovyo kweli, hivi kweli hii tunaita investigation report? report inaongelea kwa mujibu wa mashuhuda?This is a rubbish statement
Nakazia hapoShtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
Ivo yaanMie binafsi najua ni Maja mnyama, sitaki version nyingine
Majibu ya kijanja kijanja, wanakwepa kuongelea ajali ya bukoba, ila nimeelewa nimepata point , ameongelea wakati ndege ikitaka kutua hali ikawa mbaya ndege anaweza izungusha angani akisubiri hali ikae sawa kama mafuta yanatosha. Au aende kiwanja kingine.Hapana Mkuu,
Kila kitu kwenye aviation kiko wazi. Zipo Regulations na procedures za kutua na kutake-off kwenye unmanned aerodromes (airports). Mfano ni hiyo frequency ya 118.2 MHz iliyotajwa kwenye ripoti.
For more information;
Nenda shule basi, wapi hapo majaliwa kalaumiwa?Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??
Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Amiin,sikuzote mioyo safi huonekanaHivi ishu hapa ni kufungua mlango WA ndege au uokoaji?
Kama ni uokoaji na ambalo ndio muhimu basi Majaliwa bado anastahili pongezi Sana Kwa uthubutu wake wa kuongoza kikosi cha uokoaji, kwahiyo hata kama wahudimu walifungua mlango bado walihitaji msaada wa waokoaji
Kwahiyo
Majaliwa bado atabakia kuwa shujaa wetu Tu