Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

Watanzania tumepigwa tena, watuelezee kilichotokea kabla ya kutua ziwani? Ati alitua salama? Alitua salama wapi? Uwanjani? Ngege aliipeleka majini kwakuwa haikuwa na mafuta wanakuja kutudanganya?

Mrsema yote ila hamuwezi rudisha roho za watu 19. Kama rubani mmoja angepona mungeumbuka baada ya kusema ukweli.

Bahati mbaya abilia walitangaziwa hali mbaya ila marubani na wahudumu wanajua ni mafuta kuisha hakukuwa na haja ya kutua ziwani angerudi mwanza.

Na ndo maana hawakutaka kutoa msaada kwa rubani walijua kuna siku atasema ukweli.
 
Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??

Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Umeandika haya ukiwa umetoa lock!?[emoji23]
 
Bongo ujinga hauishi...
Kutokuwa na control tower sio hoja, kuna viwanja vingi bongo havina control tower na uongozaji upo.
Issue ni decision making as quoted from the report;
"Given this type of weather at Bukoba airport, the pilot
should have chosen to divert to Mwanza or to circle around until the weather
condition improved."
Mkuu wangerudije mwanza wakati ndege haikuwa na mafuta? Hii report haina ukweli wowote, kama ndege ingekuwa na mafuta angerudi mwanza, hakuna rubani mjinga wa kupeleka ndege majini kama hakuna hali ya hatari.

Tuseme ilikuwa na mafuta na ikatokea shida nyingine ya kiufundi, labda ile wanayosema tail ziligoma kutoka, kama ni shida ya tail kugoma kutoka na ndege ina mafuta ilibidi wawaandae mwanza ndege irudi mwaza wakute mazingira ya kuitua ziwani mwanza yalishaandaliwa maana dk 45 zingetosha kuandaa mazingira ya uokoaji.

Itoshe kusema ndege haikuwa na mafuta that's all.
 
Hapa walioandika ripoti wanaaandika kutokea wapi? Mbona hakuenda kuopoa hata maiti tu?

Ndio maaana maana nasema ukisoma Sana utaishia kutunza vitabu kwenye kabati.

wewe pambania pesa tu ndio maana wengine elimu wanaipuuza Kwa SASA.
🤣🤣🤣🤣
 
Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
We ndo utakuwa mpumbavu kuamini mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa kupigwa na kasia, kwanza mlango unafunguliwa kwa nje kumbuka, hakukuwa na mvuvi pale wavuvi wa kwanza walifika dak 5 baada ya abiria kuwa weshaning'inia mlangoni.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wangerudije mwanza wakati ndege haikuwa na mafuta? Hii report haina ukweli wowote, kama ndege ingekuwa na mafuta angerudi mwanza, hakuna rubani mjinga wa kupeleka ndege majini kama hakuna hali ya hatari.
Tuseme ilikuwa na mafuta na ikatokea shida nyingine ya kiufundi, labda ile wanayosema tail ziligoma kutoka, kama ni shida ya tail kugoma kutoka na ndege ina mafuta ilibidi wawaandae mwanza ndege irudi mwaza wakute mazingira ya kuitua ziwani mwanza yalishaandaliwa maana dk 45 zingetosha kuandaa mazingira ya uokoaji.

Itoshe kusema ndege haikuwa na mafuta that's all.
Sidhani kama umeisoma report, kama umeisoma nenda kaisome vizuri kwa mala nyingine, rubani hakupeleka ndege ziwani, uwanja ulishaonekana hivyo wakaamua kutua, kilichotokea ndege ikiwa inatua hakijulikani sababu inaonekana ni kama ndege ilibebwa na tufani na kujikuta majini tena ikiwa imegeuka, viashiria vingi vinaonesha haikuwa normal emergency landing.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
Tulishashtuka kitambo tu. Kwahiyo hiko kichwa kilivyoharibika kwa akili yako unakubaliana na maneno ya majaliwa kuwa aliwakuta marubani na akawasiliana nao kuwa avunje kioo na baada ya kufuata kishoka akakatazwa asivunje kioo AKAWAAGA MARUBANI?

WIith that cockpit destruction, impact ya maji kujaa mbele yamechukua si zaidi ya dakika 5. Sasa huo muda wote wa majaliwa mpaka kufikia hatua ya kuwaaga alitumia muda gani?!T
 
This is a rubbish statement
Hii nchi ina wataalamu wa hovyo kweli, hivi kweli hii tunaita investigation report? report inaongelea kwa mujibu wa mashuhuda?

mimi nilidhani report ya kitaalamu lakini inakuja na yaleyale story mia kidogo hazina jipya huyu alitoa taarifa hii inabidi atafutiwe kazi nyingine ya kufanya hata ya kugawa chai ofisini. Hakuna sehemu yoyote yule kijana alisema alishikilia mlango walichosema ndani walitoa lock nje walisaidia kuuvuta nje na watu walikuwa busy kuokoa lakini kwa lolote kuna kitu cha kujifunza kwanza hii report ni aibu haina lolote jipya wangesema tumesikiliza black box maongezi ya mwisho hapo sawa wewe unaongelea kwa mujibu wa mashahidi pilot akaona njia ya kutua walijuaje kama ni kweli? kwani hakuna black box wala mawasiliano na tower?

anyway jambo la kujifunza hapa jamani wavuvi na wengine mkiona ajali kaeni pembeni sio kazi yenu mtakuja kusutwa mpaka mtajuta hata kwanini kilichowapeleka kiherehere kibaya wacheni wenyewe wajiokoe.

Haya ni yale umekuta mtu kagongwa barabarani mwache tu usijifanye mwema ukifika hosp unatiwa ndani wewe kwanza kwa upelelezi zaidi mpaka ukitoka umejuta huendi tena Hospital hivi hamjifunzi tu?
 
Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
Nakazia hapo
 
Tulisema humu kwamba shujaa majaliwa ni wa mchongo, tukaishia kupewa matusi[emoji3061]

Narudia tena " shujaa majaliwa ni wa mchongo".
 
Hivi ishu hapa ni kufungua mlango WA ndege au uokoaji?

Kama ni uokoaji na ambalo ndio muhimu basi Majaliwa bado anastahili pongezi Sana Kwa uthubutu wake wa kuongoza kikosi cha uokoaji, kwahiyo hata kama wahudimu walifungua mlango bado walihitaji msaada wa waokoaji

Kwahiyo

Majaliwa bado atabakia kuwa shujaa wetu Tu
 
Hapana Mkuu,
Kila kitu kwenye aviation kiko wazi. Zipo Regulations na procedures za kutua na kutake-off kwenye unmanned aerodromes (airports). Mfano ni hiyo frequency ya 118.2 MHz iliyotajwa kwenye ripoti.
For more information;

Majibu ya kijanja kijanja, wanakwepa kuongelea ajali ya bukoba, ila nimeelewa nimepata point , ameongelea wakati ndege ikitaka kutua hali ikawa mbaya ndege anaweza izungusha angani akisubiri hali ikae sawa kama mafuta yanatosha. Au aende kiwanja kingine.

Kwahiyo? Bado hamjaelewa tu?
 
Kampuni ya precision bangiii ,wale I tu eti wanamlaumu majaliwa kwani majaliwa anahusikaje na ujinga wao ??

Hawana akili hao wao ndio walipaswa kuweka mambo Yao sawa wameua watu watu Kisa uzembe wanasingizia serikali wapuuzi labda ingekuwa air Tanzania maana ndio ya serikali wameniboa au walitaka kutoa wenzao sadaka wapate wateja wengi
Nenda shule basi, wapi hapo majaliwa kalaumiwa?

Wao wametoa taarifa yao, kwa wale smart mind tuliokataa haya maigizo report ime tu prove right.

Vilaza ndio mnaanza kupiga yowe.
 
Hivi ishu hapa ni kufungua mlango WA ndege au uokoaji?

Kama ni uokoaji na ambalo ndio muhimu basi Majaliwa bado anastahili pongezi Sana Kwa uthubutu wake wa kuongoza kikosi cha uokoaji, kwahiyo hata kama wahudimu walifungua mlango bado walihitaji msaada wa waokoaji

Kwahiyo

Majaliwa bado atabakia kuwa shujaa wetu Tu
Amiin,sikuzote mioyo safi huonekana
 
Back
Top Bottom