econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Bongo ujinga hauishi...
Kutokuwa na control tower sio hoja, kuna viwanja vingi bongo havina control tower na uongozaji upo...
Wanatua kwa uzoefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo ujinga hauishi...
Kutokuwa na control tower sio hoja, kuna viwanja vingi bongo havina control tower na uongozaji upo...
Wahaya kwa Sanaa!Hero feki alishapiga pesa za maboya kitambo saaana.
Hivi ataendelea na mafunzo ya uokoaji kweli 😂Wahaya kwa Sanaa!
Ugumu uko wapi wakati haya yote yalielezwa na Injinia Victor?Nchi ngumu sana hii!
Ngoja Barafu ajeHivi black box kazi yake ni nini? Na hyo ripoti imengalia vitu gani mpaka kuja na majibu ya hvyo , duniani kote ripoti za ajali ya ndege primary data ni black box , kwenye hii ya kwetu hata black box haitajwi
Kapewa nyota lini Ina maana keshamaliza mafunzo muda mfupi hivyo?Majaliwa kashapewa nyota begani..Nani wa kumvua
Kwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Na alidai huko, walikuwepo watu si chini ya SITA!Kwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Ndo nini?Maja mtu mbadi