fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Hapa majariwa dogo kweli alitupiga ngumi nzito.Kwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa majariwa dogo kweli alitupiga ngumi nzito.Kwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Hapana Mkuu,
Kila kitu kwenye aviation kiko wazi. Zipo Regulations na procedures za kutua na kutake-off kwenye unmanned aerodromes (airports). Mfano ni hiyo frequency ya 118.2 MHz iliyotajwa kwenye ripoti.
For more information;
Majaliwa yupi mkuu?Kwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Kazi imeanza. New chapter.
Fuatilia walishatoa maelezo kawaida report ya ajali ya ndege utoka mara 3, sasa tumepata ya 2 bado ya 3 ndio uhusisha black box na itakuwa tayari baada ya miaka 2 kama sijakosea, hii report ni ya siku 14 toka ajali itokee.Hv black box kaz take nn ? Na hyo ripoti imengalia vitu gan mpak kuja na majibu ya hvyo , duniani kote ripoti za ajali ya ndege primary data ni black box , kwenye hii ya kwetu hata black box haitajwi
Majaliwa majaliwa, kwa uongo wako mungu anakuonaNovemba 9, 2022, Ndege ya Precision Air iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba ilipata ajali pembezoni mwa ziwa Victoria, karibu kabisa na uwanja wa Ndege wa Bukoba...
Ungesikiliza kwanza taarifa zao za awali... kuna report tatu... ya mwisho ndio report ndefu ambayo itahusisha na taarifa za black box.Hv black box kaz take nn ? Na hyo ripoti imengalia vitu gan mpak kuja na majibu ya hvyo , duniani kote ripoti za ajali ya ndege primary data ni black box , kwenye hii ya kwetu hata black box haitajwi
Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapoHapa majariwa dogo kweli alitupiga ngumi nzito.
Wee jamaa ni poyoyo kweli aisee!Shtukeni wabongo majaliwa anahujumiwa mchana kweupe hapo haiwezekani na haitowezekana abiria wajihudumie baada ya ajali ya ndege zaidi ya wenge (kiwewe) hivi mnaitambua kasi ya ndege na zaidi inaenda kujipigiza ardhinini ile ya bodaboda mala 100 alafu MTU awe na ufahamu mlango uko hapa ni pumbavu pekee kuwaelewa hao sijui kamati ya uchunguzi no uhuni tu kuficha uzembe wa watu Fulani hapo
Sasa kama huna taarifa ndio unanitisha kupitia Jf?!!Ndugu acha sifa,afu punguza ushamba wa matumizi ya mitandao ya kijamii,ngoja <tukutafute uelezee hili taarifa yako kwa kina na hole wako ushindwe.