Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa asisitiza ripoti ya awali ya ajali ya precisionair inayodaiwa kutolewa na serikali ambayo sasa inasambaa na kuvuta michango ya mawazo ya jamii ipuuzwe.
23 November 2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thibitisha hii kauliElewa hiyo ripoti haijatolewa na Shirika la ndege la Precision bali ni ripoti ya serikali,
Huo ni uchunguzi wa awali wa serikali kuhusiana ajali ya ndege ya Precision Air.
Ni Yako ulinipa asubuhi ni report hukuKwani hii ni ripoti ya precision au ya wizara?
Chalamila na Majaliwa PM wametuhadaa mwezi mzima kutengeneza kick.Mhudumu mmoja wa ndege hiyo pamoja na abiria mwingine ndiyo walihusika kufungua mlango, kisha abiria huyo alisimama kuzuia mlango ili usijifunge ili abiria wengine waweze kutoka na kuingia kwenye mitumbwi ya wavuvi.
Dah ..
Naomba kutukana kidogo..Kwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Nikitegemea Msemaji wa wizara au wizara ikabushe!!
Okay byeNi Yako ulinipa asubuhi ni report huku
Unatamani uwe handsome hivyoo eh maana sipati picha uhalisia upojeOkay bye
KwannUnatamani uwe handsome hivyoo eh maana sipati picha uhalisia upoje
Labda ni kama ile JPM anachapa kazi wakati yuko ICU kama siyo kwenye frige.Chalamila ni mpumbavu sana kusema aliongea na rubani huku suala la shujaa Majaliwa ni uzushi na uongo wa serikali ya Samia na Kassim Majaliwa
nahisi majaliwa ni mtoto wa kihaya.hahahahahaKwa huu uharibifu isingewezekana marubadi kuwa hai hata kwa dakika 5 ila majaliwa anasema aliwapungia mkono kuwaagaView attachment 2424382
Kumbuka huyu juha alisema ameongea na Magufuli na ni mzima wakati Magufuli akiwa hajitambui.Chalamila ni mpumbavu sana kusema aliongea na rubani huku suala la shujaa Majaliwa ni uzushi na uongo wa serikali ya Samia na Kassim Majaliwa
ccm kwa akili zenu hizi mtakufa na ujinga wenu kama lile dude lidikiteta.![]()
Yaliyomo yamo ripoti ajali ya ndege
Msemo wa Waswahili kuwa “Yaliyomo yamo” unafaa kueleza maudhui yaliyomo katika ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Precision Air iliyowasilishwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi...www.mwananchi.co.tz
Nawe utaishi milele ala uju siku Yesu akirudi ni wafu watakaonyakuliwa kwanza NAWE utabaki mpinzani daimaccm kwa akili zenu hizi mtakufa na ujinga wenu kama lile dude lidikiteta.