JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Ajali hiyo ilitokea jana Juni 22, 2022 ambapo baadaye Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa alisema kulikuwa na hujuma baada ya kukuta kipande cha reli kiliondolewa na kisha kurudishwa kwa kuegeshwa katika eneo la ajali.
“Nawapa pole wafiwa, nawaombea marehemu wapumzike kwa amani na majeruhi wapone haraka. Nimeagiza tuliowapa dhamana ya eneo hili kufuatilia na kubaini chanzo, na kuchukua hatua stahiki,” – Rais Samia.
Pia soma - TRC yasema Ajali ya treni ya abiria Juni 22, 2022 iliyosababisha vifo na majeruhi ni HUJUMA