The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Yes kinana ni kilaza kama mwigulu tuUlipomuhusisha tu kinana na ajari nikaacha kusoma huo utumbo....🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kinana ni kilaza kama mwigulu tuUlipomuhusisha tu kinana na ajari nikaacha kusoma huo utumbo....🙄🙄
Kuna Jamaa hapo juu kasema ni mambo ya kawaida tu.Hii juzi ni Basi la Dar to Tanga
Tulia JanuaryNa barabarani hurudi ng'o watu kama nyie wanini🤣
Wafuasi wa Kinana wanasema ni kawaida tu.
Be safeNinasoma habari hii nikiwa hapa Dodoma nikianza safari ya kuelekea DAR hakika hizi safari ndefu ni MUNGU mwenyewe Tu anahitajika....namwomba MUNGU anifunike Kwa mikono yake na mimi
Sahii kabisa, watu waache ushabikiTrafiki sio suluhu ya ajali, huko barabarani kuna vipande vingi tu hawakai hao trafiki...
Mara nyingi sababu ya ajali za kugongana uso kwa uso ni uzembe katika kuendesha au mechanical failure, hivi vitu havizuiwi na uwepo wa askari barabarani bali uduni wa mifumo ya ukaguzi
Tena iyo njia ya Dom to Dar ...Ni balaa naa nusu ..inakuwaga na ajali Sana.Ninasoma habari hii nikiwa hapa Dodoma nikianza safari ya kuelekea DAR hakika hizi safari ndefu ni MUNGU mwenyewe Tu anahitajika....namwomba MUNGU anifunike Kwa mikono yake na mimi
Yaani watu wanaroho ngumu Sana na wepesi wa kusahau,watu bado kweli wanapanda mabasi ya kampuni hiyo? Tuliibatiza jina inaitwaBREAKING NEWS
Watu watano wamepoteza maisha hapo hapo na wengine 36 wamejeruhiwa vibaya kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Najmunisa T 413 DAY kugongana uso kwa uso na Fuso T 123 DJH katika eneo la Ibadakuli Shinyanga.
Mzee Kinana kama nakuona vile
Chanzo: ITV
====
Update
Watu watano wamepoteza maisha na wengine 36 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Najmunisa T 413 DAY kugongana uso kwa uso na Fuso T 123 DJH katika eneo la Ibadakuli Shinyanga, leo Septemba 3, 2022.-
Majeruhi wote wamekimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga na miili ya marehemu imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Leonard Nyandahu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Taarifa zaidi kuhusu ajali hii zitazidi kukujia.
Hiyo inakuwa imeisha tunakomfamu K.I.A😂😂😂(Killed In Action)Omba usikutane na Tanker inawahi beba mzigo na dereva ana kimeo cha deni la mafuta
Mungu wetu aendelee kuwapigania na kuwakumbatia mnaosafirisafiri🙏Hili basi lilinipita juzi pale Moveck linaelekea Mbezi tayari kwa Safari, nikawa namwambia Mtu kuwa hii kampuni umefanikiwa kufanya maboresho makubwa kwenye speed, dah naamini ni Ajali kama Ajali zingine tu
Polisi kukaa barabarani na kuchukua rushwa haijawahi kuwa suluisho la ajali!! Kinachotakiwa ni elimu ya kutosha Kwa madereva ili kupunguza ajali!! By the way hata Nchi zilizoendelea ajali zipo Cha Muhimu pia ni kuomba Mungu, RIP wahangaBREAKING NEWS
Watu watano wamepoteza maisha hapo hapo na wengine 36 wamejeruhiwa vibaya kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Najmunisa T 413 DAY kugongana uso kwa uso na Fuso T 123 DJH katika eneo la Ibadakuli Shinyanga.
Mzee Kinana kama nakuona vile
Chanzo: ITV
====
Update
Watu watano wamepoteza maisha na wengine 36 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Najmunisa T 413 DAY kugongana uso kwa uso na Fuso T 123 DJH katika eneo la Ibadakuli Shinyanga, leo Septemba 3, 2022.-
Majeruhi wote wamekimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga na miili ya marehemu imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Leonard Nyandahu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Taarifa zaidi kuhusu ajali hii zitazidi kukujia.
Aaaamen AMENMungu wetu aendelee kuwapigania na kuwakumbatia mnaosafirisafiri🙏
Hakika ajali siyo mambo ya kawaida. Unless uwe na akili finyu kabisa ndiyo unaweza kukubali ajali ni mambo ya kawaida.Acha njaa. Haya mambo ya kawaida wewe.
Na ufinyu wa akili pia kudhani Kinana kasababisha ajali.Hakika ajali siyo mambo ya kawaida. Unless uwe na akili finyu kabisa ndiyo unaweza kukubali ajali ni mambo ya kawaida.