Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Hilo basi laonekana bovu
Malori yatafutiwe sehemu ya kupita
Madereva wa malori ni wababe si mchezo japo madereva wa mabasi nao ni watu wa kuforce sana wakiwa barabarani.
Dereva wa bus anaona kabisa gari la mbele yake limekaribia lakini anavuta moto hadi apenye sasa wakati mwingine hesabu zinafeli tena akikutana na wa lori ndo kabisa wa roli anaweza kuona mwenzake kapiga hesabu vibaya lakini anakanyaga moto wakutane au bus lipenye kwa shida ilimradi liwalo na liwe yaan ni jeuri kweli kweli