Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Duh... Mtoto atateseka sana. Upannde wa baba watakwara mali zote dogo anabaki kwa mamamdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena sikuiz Kuna automated system za kila namna... ndio hivo tena labda kiongozi mkubwa yamkute ndio tupate hiyo neema...Hivi kwanini wanashindwa kufunga barabara ili treni ipite kwanza?
Yaani kufunga barabara inakuwa jambo gumu, kweli!?
SGR inapashwa misuli.Si nilisikia safari za treni zimesitishwa kwa muda
Hiyo ni treni gani tena
Treni zinatembea kama kawaida boss.Si nilisikia safari za treni zimesitishwa kwa muda
Hiyo ni treni gani tena
Ngoja tusubiri tuone na wewe utakufa kifo cha aina gani. Maana kila nafsi itaonja mauti.Hawa wanao kufa kwa kugonga treni wana kufaga kwa ujinga wao tu na mahalaka ya kijinga
Mhusika mwenyewe ushindwe kuchukua tahadhari ya maisha yako then uwaachie TRC ???Kwa nini mamlaka(TRC) hawafungi njia ili treni ipite kwanza?, wakiweka hata magogo pande zote mwa barabara napo ni vigumu?
Kwa akili za kibongo ndugu wa marehemu hapo wanawaza mali za waliokufa kuliko mtoto aliebaki.
Kivuko cha reli sio siri kama ni driver makini unajua nini cha kufanya iwe treni ipo au haipo. Mtu anaesema treni imemshtukiza, na kelele na muungurumo wote ule sio rahisi uwe hujaskia unless hauko makini.Kwa nini mamlaka(TRC) hawafungi njia ili treni ipite kwanza?, wakiweka hata magogo pande zote mwa barabara napo ni vigumu?
Mara nyingi watu wanapoendesha huwa wanafunga vioo na kufungulia kiyoyozi na wakati mwingine hukuta wanapiga story pia.Kivuko cha reli sio siri kama ni driver makini unajua nini cha kufanya iwe treni ipo au haipo. Mtu anaesema treni imemshtukiza, na kelele na muungurumo wote ule sio rahisi uwe hujaskia unless hauko makini.
Inaonekana radio na miziki ni common causeMwnyw imewahi kunikuta usiku mmoja tunatoka ifakara kuzika, tuko kama msafara wa gari 6 hivi,
yangu ndo ya mwisho, nmempakia wife,washkaji na wazee wa heshima kadhaa.
Nmefunga vioo, tunakula kiyoyozi
zinapiga kwaya na story kadhaa zinaendelea
Kuna reli flani Iko kwny Kona kali (sipakumbuki jina).
Ile nmevuka tu Yale machuma chuma, naona mwanga mkali sn unanipiga Kwa nyuma kupitia side mirror.
Nikajua litakua fuso hili, nichek namna ya kumpisha.
( Kawaida Sipendagi kuongozana na malori barabarani)
Kuangalia nyuma mwanga umepotea,
Ikabd kushusha kioo, duh! Naskia mtikisiko mno
Kumbe ni treni limetupita na liko spidi Kali balaa. Nilisimama kwanza kuvuta pumzi mara tatu maana lingetuvaa tu pale hakuna mtu mmoja angesalia[emoji26][emoji120]
Miziki kwenye gari yaonekana ni sehemu ya tatizoKivuko cha reli sio siri kama ni driver makini unajua nini cha kufanya iwe treni ipo au haipo. Mtu anaesema treni imemshtukiza, na kelele na muungurumo wote ule sio rahisi uwe hujaskia unless hauko makini.
Nazani walikua wamefunga vio wanakula kiyoyozi,kwa hiyo hata makelele kutoka Nje hawakuyasikia!!Swaumu kali hawakuwa wamepata futari hawakusikia honi.
Hata kuweka tuta moja sehemu hatarishi ni mpaka watu wafe na waandamaneHivi kwanini wanashindwa kufunga barabara ili treni ipite kwanza?
Yaani kufunga barabara inakuwa jambo gumu, kweli!?
Watu wengi ulimbukeni wa AC kwenye Gari ndiyo unawaponzaga! Hata Kama kuna hatari mbele,hata wakipigiwa kelelee hawasiki maana vio vyote vimefungwa hadi juu!!Kivuko cha reli sio siri kama ni driver makini unajua nini cha kufanya iwe treni ipo au haipo. Mtu anaesema treni imemshtukiza, na kelele na muungurumo wote ule sio rahisi uwe hujaskia unless hauko makini.
Usiseme hivyo ndugu, uzembe unaanzia Kwenye treni yenyewe na wenye reli Yao!! Kuna kitu kinaitwa clear site distance ya mtu kuweza kuona train yenyewe inakuwa imezongwa na mabango, biashara holela, na hata miti imeota!! Mtumiaji WA barabara hawezi kuiona treni hata mita 20 Kabla!! Tunaomba watu WA safety WA reli wafanye kitu, mifano ipo mingi kama buza na barabara ya jet corner (tazara) na kote Hali ni hizo hizoHawa wanao kufa kwa kugonga treni wana kufaga kwa ujinga wao tu na mahalaka ya kijinga