mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Mkuu pamoja na alama za barabara kuwa clear bado ukaingia na zote?Hujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
Jipe muda wa kupumzika uwapo na usafiri binafsi!!