Ajali yaua Wanandoa Dodoma, kichanga wao anusurika

Ajali yaua Wanandoa Dodoma, kichanga wao anusurika

Hujui chochote masta

.. Tema mate Chini na omba yasikukute

Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.

Raha ya Milele uwape ee Bwana...

Wapumzike kwa amani.
Mkuu pamoja na alama za barabara kuwa clear bado ukaingia na zote?

Jipe muda wa kupumzika uwapo na usafiri binafsi!!
 
Kuna ajali moja staff mwenzetu amebeba milipuko ya migodini(baruti na fataki zake) kwenye hilux halafu kagonga treni .Mungu saidia kichwa cha gari tu ndo kilibamizwa vilipuzi havikuguswa .
Kama vingepata friction na impact yoyote ingekuwa historia duniani , hiyo shimo ingechimbwa hapo ni balaa.
Ni ile ilitokea Mwanza pale maeneo ya Fella jamaa alikuwa anawahi Nyamongo?
 
Mkuu magari ya kisasa, wakifunga vioo wanawasha mziki, hakuna sauti ya nje inayosikika ndani ya gari,

Hata honi ya treni inakuwa ngumu kuisikia,

Kwenye vivuko vya SGR, sijui itakuwaje, maana kwa madereva wetu hawa maafa yanaweza kuwa makubwa sana,



Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
hatahivyo kuna alama zozote za kuashiria kwamba kuna treni inapita?
 
Eeh! AC ni Ulimbukeni Kumbe?
Ndiyo ulimbukeni! Wengine mko kwenye kivuko Kama kwenye Pantoni baharini kabisa eti Yuko kwa gari anaungurumisha mashine kisa kula AC, wakati kuna upepo mwanana wa bahari!! Likitokea la kutokea hata kusikia matangazo ya hatari hasikii! Mnapokua maeneo ya hatari madereva shusheni vio na mpunguze sound ndani ya gari mtaokoka na mengi!! Ni Mimi dereva mwenzenu wa siku nyingi sana!!
 
Kila baada ya miaka mitano toka kupata leseni dereva arudi shule na apige shule ya kutosha. Madereva kanjanja ni wengi sana.
Hiyo sio solution kwa mtu mwenye ngozi nyeusi hakuna la maana hapo yaani ngozi nyeusi ni kiumbe ambae hajielewi hata asome vp
 
Mwnyw imewahi kunikuta usiku mmoja tunatoka ifakara kuzika, tuko kama msafara wa gari 6 hivi,
yangu ndo ya mwisho, nmempakia wife,washkaji na wazee wa heshima kadhaa.

Nmefunga vioo, tunakula kiyoyozi
zinapiga kwaya na story kadhaa zinaendelea
Kuna reli flani Iko kwny Kona kali (sipakumbuki jina).
Ile nmevuka tu Yale machuma chuma, naona mwanga mkali sn unanipiga Kwa nyuma kupitia side mirror.
Nikajua litakua fuso hili, nichek namna ya kumpisha.
( Kawaida Sipendagi kuongozana na malori barabarani)

Kuangalia nyuma mwanga umepotea,
Ikabd kushusha kioo, duh! Naskia mtikisiko mno
Kumbe ni treni limetupita na liko spidi Kali balaa. Nilisimama kwanza kuvuta pumzi mara tatu maana lingetuvaa tu pale hakuna mtu mmoja angesalia[emoji26][emoji120]
Ni uzembe kupiga kwaya sjui mziki kwenye gari ukipata ajali unasingizia mungu alikupangia utafikiri mungu mlionana na mungu akakupangia
 
Mkuu magari ya kisasa, wakifunga vioo wanawasha mziki, hakuna sauti ya nje inayosikika ndani ya gari,

Hata honi ya treni inakuwa ngumu kuisikia,

Kwenye vivuko vya SGR, sijui itakuwaje, maana kwa madereva wetu hawa maafa yanaweza kuwa makubwa sana,



Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Vivuko vya SGR gari zinapita chini
 
Ikifika apo Huwa nawaza Watanzania sijui alieturoga Nan[emoji26][emoji3525]
Sasa we usharogwa na mchepuko zaidi ya mkeo.
Lawama zingine mnampa mungu tu .
Wakati mmejiroga wenyewe na akili zenu za koroboi hizi
 
Dr.Ibenzi Ernest Kiongozi wa hovyo sana Wizara ya Afya chukueni hatua mapema.Hafai kabisa kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma anaendekeza Sukuma gang.Anakwamisha jitihada za Mh.Rais Samia Suruhu Hassan na kageuza Hospitali kama Mali yake binafsi.
 
Ndiyo ulimbukeni! Wengine mko kwenye kivuko Kama kwenye Pantoni baharini kabisa eti Yuko kwa gari anaungurumisha mashine kisa kula AC, wakati kuna upepo mwanana wa bahari!! Likitokea la kutokea hata kusikia matangazo ya hatari hasikii! Mnapokua maeneo ya hatari madereva shusheni vio na mpunguze sound ndani ya gari mtaokoka na mengi!! Ni Mimi dereva mwenzenu wa siku nyingi sana!!
Hii Ya Kwenye Pantoni, Ni Uvunjifu tu Sheria, Ila Kwa Barabarani Hapana kwa Kweli, Na Joto Hili la Dar Bila AC?
 
Back
Top Bottom