Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good idea. Litafanyiwa kazi.Usiseme hivyo ndugu, uzembe unaanzia Kwenye treni yenyewe na wenye reli Yao!! Kuna kitu kinaitwa clear site distance ya mtu kuweza kuona train yenyewe inakuwa imezongwa na mabango, biashara holela, na hata miti imeota!! Mtumiaji WA barabara hawezi kuiona treni hata mita 20 Kabla!! Tunaomba watu WA safety WA reli wafanye kitu, mifano ipo mingi kama buza na barabara ya jet corner (tazara) na kote Hali ni hizo hizo
Ukiwa hai na mzima unaona kama aliyepata ajali ni mjinga......ngoja wasaa wako ukifika ndio utajua hujui......Hawa wanao kufa kwa kugonga treni wana kufaga kwa ujinga wao tu na mahalaka ya kijinga
Kapoteza ndoto zake zote,waliobaki watagawana kila kitu na kumsahau dogoDogo atapata shida sana mungu ampiganie tuu akue vyema
Mtoto huenda asikatize miaka 5 mana wataona ni kero.Kwa akili za kibongo ndugu wa marehemu hapo wanawaza mali za waliokufa kuliko mtoto aliebaki.
Wewe ulikuwa huoni kuwa mbele kuna reli?Hujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
No unluckSo sad,that kid is so luck !
Amina[emoji120]Hujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
Sahihi man! kwa hali hii hayo yanaweza timia kwani binadamu sisi dah!yAsije yakamkuta kama ya ile story tuliokuwa tunasoma humu jf,jamaa wakazurumiwa mali na baba mkubwa mwisho wa siku kijana mkubwa akawa jambazi
Hakinaga mbabe Kifo,,,,anaelezea kirahisi rahisi sana,,,amejisahau kwa kuwa bado amejaaliwa hako ka pumzi cha kutamba sasa,,,, ngoja tusubirie yeye kama ataishi milele maana anaoneka ana mbinu dhabiti za kukikwepa!!Hujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
Sijui jamaa kaandika vile ili amfurahishe nani?Hujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
Pole kwa wanamaji wote pole water resource pole wizara ya majiEngineer Hussein chilala na mkewe wote wamefariki. Wameacha kichanga chao, inauma sana
alipiga IWRE?Pole kwa wanamaji wote pole water resource pole wizara ya maji
Kufa kijinga ndo kupoje mkuu na kufa kijanja kupojeUngekufa kijinga.
Unavukaje reli kizembe mkuuHujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
Mkuu magari ya kisasa, wakifunga vioo wanawasha mziki, hakuna sauti ya nje inayosikika ndani ya gari,Kivuko cha reli sio siri kama ni driver makini unajua nini cha kufanya iwe treni ipo au haipo. Mtu anaesema treni imemshtukiza, na kelele na muungurumo wote ule sio rahisi uwe hujaskia unless hauko makini.
Yesalipiga IWRE?