mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Mkuu pamoja na alama za barabara kuwa clear bado ukaingia na zote?Hujui chochote masta
.. Tema mate Chini na omba yasikukute
Nakumbuka nilikuwa naenda Mwanza usiku, nimefika Manyoni kwenye saa nane kasoro hivi.. Baridi ni 14 ⁰c sina hili wala lile nastuka Treni hili hapa...
This has nothing to do with knowedge.. likifika limefika.
Raha ya Milele uwape ee Bwana...
Wapumzike kwa amani.
Ni ile ilitokea Mwanza pale maeneo ya Fella jamaa alikuwa anawahi Nyamongo?Kuna ajali moja staff mwenzetu amebeba milipuko ya migodini(baruti na fataki zake) kwenye hilux halafu kagonga treni .Mungu saidia kichwa cha gari tu ndo kilibamizwa vilipuzi havikuguswa .
Kama vingepata friction na impact yoyote ingekuwa historia duniani , hiyo shimo ingechimbwa hapo ni balaa.
hatahivyo kuna alama zozote za kuashiria kwamba kuna treni inapita?Mkuu magari ya kisasa, wakifunga vioo wanawasha mziki, hakuna sauti ya nje inayosikika ndani ya gari,
Hata honi ya treni inakuwa ngumu kuisikia,
Kwenye vivuko vya SGR, sijui itakuwaje, maana kwa madereva wetu hawa maafa yanaweza kuwa makubwa sana,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ndiyo ulimbukeni! Wengine mko kwenye kivuko Kama kwenye Pantoni baharini kabisa eti Yuko kwa gari anaungurumisha mashine kisa kula AC, wakati kuna upepo mwanana wa bahari!! Likitokea la kutokea hata kusikia matangazo ya hatari hasikii! Mnapokua maeneo ya hatari madereva shusheni vio na mpunguze sound ndani ya gari mtaokoka na mengi!! Ni Mimi dereva mwenzenu wa siku nyingi sana!!Eeh! AC ni Ulimbukeni Kumbe?
Na mziki sauti ya juuMara nyingi watu wanapoendesha huwa wanafunga vioo na kufungulia kiyoyozi na wakati mwingine hukuta wanapiga story pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sio solution kwa mtu mwenye ngozi nyeusi hakuna la maana hapo yaani ngozi nyeusi ni kiumbe ambae hajielewi hata asome vpKila baada ya miaka mitano toka kupata leseni dereva arudi shule na apige shule ya kutosha. Madereva kanjanja ni wengi sana.
Ni uzembe kupiga kwaya sjui mziki kwenye gari ukipata ajali unasingizia mungu alikupangia utafikiri mungu mlionana na mungu akakupangiaMwnyw imewahi kunikuta usiku mmoja tunatoka ifakara kuzika, tuko kama msafara wa gari 6 hivi,
yangu ndo ya mwisho, nmempakia wife,washkaji na wazee wa heshima kadhaa.
Nmefunga vioo, tunakula kiyoyozi
zinapiga kwaya na story kadhaa zinaendelea
Kuna reli flani Iko kwny Kona kali (sipakumbuki jina).
Ile nmevuka tu Yale machuma chuma, naona mwanga mkali sn unanipiga Kwa nyuma kupitia side mirror.
Nikajua litakua fuso hili, nichek namna ya kumpisha.
( Kawaida Sipendagi kuongozana na malori barabarani)
Kuangalia nyuma mwanga umepotea,
Ikabd kushusha kioo, duh! Naskia mtikisiko mno
Kumbe ni treni limetupita na liko spidi Kali balaa. Nilisimama kwanza kuvuta pumzi mara tatu maana lingetuvaa tu pale hakuna mtu mmoja angesalia[emoji26][emoji120]
Alituroga kafa ma hajui kaburi lake lilipo.Ikifika apo Huwa nawaza Watanzania sijui alieturoga Nan[emoji26][emoji3525]
apumzike kwa amani
We umemaliza miaka gn hapo Ubungo..sote ni wadauapumzike kwa amani
Vivuko vya SGR gari zinapita chiniMkuu magari ya kisasa, wakifunga vioo wanawasha mziki, hakuna sauti ya nje inayosikika ndani ya gari,
Hata honi ya treni inakuwa ngumu kuisikia,
Kwenye vivuko vya SGR, sijui itakuwaje, maana kwa madereva wetu hawa maafa yanaweza kuwa makubwa sana,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Sasa we usharogwa na mchepuko zaidi ya mkeo.Ikifika apo Huwa nawaza Watanzania sijui alieturoga Nan[emoji26][emoji3525]
Hii Ya Kwenye Pantoni, Ni Uvunjifu tu Sheria, Ila Kwa Barabarani Hapana kwa Kweli, Na Joto Hili la Dar Bila AC?Ndiyo ulimbukeni! Wengine mko kwenye kivuko Kama kwenye Pantoni baharini kabisa eti Yuko kwa gari anaungurumisha mashine kisa kula AC, wakati kuna upepo mwanana wa bahari!! Likitokea la kutokea hata kusikia matangazo ya hatari hasikii! Mnapokua maeneo ya hatari madereva shusheni vio na mpunguze sound ndani ya gari mtaokoka na mengi!! Ni Mimi dereva mwenzenu wa siku nyingi sana!!