Ajali za mwisho wa mwaka, Je ni Africa peke yake au hata nchi zilizoendelea ? Je ni dhana ya ulozi au Uzembe tuu ? Mbona watu wanapotea kizembe hivi ?

Ajali za mwisho wa mwaka, Je ni Africa peke yake au hata nchi zilizoendelea ? Je ni dhana ya ulozi au Uzembe tuu ? Mbona watu wanapotea kizembe hivi ?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam

Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena kuna gari lilianguka kama wiki mbili hiv.

Leo, asubuhi nakutana na huyu mfanyakazi ofisi ya hazina, amefariki na mtoto wake, ila Mama na wengine wapo hospitali majeruhi.

Jamani tufanye nini ? Hivi hizi damu zinazomwagika hivi na kuacha watu wakiwa vilema na tegemezi, tutakuja kumaliza hii adha lini.

Kwani nchi za wenzetu wanafanyaje ? Kiranga nasikia unaishi marekani ? Hivi utaratibu wa vacation huko nnje upoje ? Mbona sisi tunaokaa Musoma huko huwa tunajipanga na tunasafiri aste aste mpaka tunafika salama (tulio wengi) Utakuta unaendesha mpaka dodoma unapumzika, then mwanza unapumzika then musoma, na sisi ndio safari ndefu kabisa ukitoa kagera na kigoma.

Kaka MshanaJR sijajua ni kabira gani, ila nahisi ni mchaga, Brother embu njoo hata na mawazo na solution, Maana wachungaji wanahubiri kila siku, mikesha ya manabii yote inasema juu ya mwisho wa mwaka.

Hitimisho, Je solution ya ajali za mwisho wa mwaka ni nini ? Au tufunge mjadala wa kuwapa @tanpol lawama ? Lakini naona tutakuwa tunawalaumu bure tu. Watanzania wenzangu tufanyaje ?

Nawasilisha
 
Ajali zipo kipindi chote cha mwaka.
Sababu kuu ni zile zile
1. Madereva kutofuata sheria kanuni na taratibu
2.Gari mbovu

Kuwa na ajali nyingi mwisho wa mwaka ni sababu watumiaji wa barabara za mikoani kipindi hiki huongezeka, kila mtu anataka aende kwa bibi yake kijijini kwao.
Tena kila mtu anatambaa na gari yake
Kampuni za basi nazo zinaingiza gari zote nzima na mbovu barabarani uhitaji wa usafiri ni mkubwa na gari zenye viwango hakuna
 
IMG-20241223-WA0008.jpg
 
Ajali zipo kipindi chote cha mwaka.
Sababu kuu ni zile zile
1. Madereva kutofuata sheria kanuni na taratibu
2.Gari mbovu

Kuwa na ajali nyingi mwisho wa mwaka ni sababu watumiaji wa barabara za mikoani kipindi hiki huongezeka, kila mtu anataka aende kwa bibi yake kijijini kwao.
Tena kila mtu anatambaa na gari yake
Kampuni za basi nazo zinaingiza gari zote nzima na mbovu barabarani uhitaji wa usafiri ni mkubwa na gari zenye viwango hakuna

RIP kwa marehemu wote waliofariki kwenye ajali.

Kuongezea sijui ubora wa barabara ukoje. Kuanzia ukubwa na wingi wa lanes, maintenance, taa, mpaka alama za barabarani.

Watanzania wengi wanaamini katika miujiza kuliko elimu ya usalama wa barabarani. Watu wengi wanasafiri huku wanaamini kuombeana na kupigiana dua kuliko kulifanyia gari checkup na kufuata sheria za barabarani.
 
RIP kwa marehemu wote waliofariki kwenye ajali.

Kuongezea sijui ubora wa barabara ukoje. Kuanzia ukubwa na wingi wa lanes, maintenance, taa, mpaka alama za barabarani.

Watanzania wengi wanaamini katika miujiza kuliko elimu ya usalama wa barabarani. Watu wengi wanasafiri huku wanaamini kuombeana na kupigiana dua kuliko kulifanyia gari checkup na kufuata sheria za barabarani.
Kabla hujaanza safari ni muhimu kumuomba Mungu atuepushe na ajali ndugu yangu.

Ni Bora kutiii kuliko kushupaza shingo kaka
 
Salaam

Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena kuna gari lilianguka kama wiki mbili hiv.

Leo, asubuhi nakutana na huyu mfanyakazi ofisi ya hazina, amefariki na mtoto wake, ila Mama na wengine wapo hospitali majeruhi.

Jamani tufanye nini ? Hivi hizi damu zinazomwagika hivi na kuacha watu wakiwa vilema na tegemezi, tutakuja kumaliza hii adha lini.

Kwani nchi za wenzetu wanafanyaje ? Kiranga nasikia unaishi marekani ? Hivi utaratibu wa vacation huko nnje upoje ? Mbona sisi tunaokaa Musoma huko huwa tunajipanga na tunasafiri aste aste mpaka tunafika salama (tulio wengi) Utakuta unaendesha mpaka dodoma unapumzika, then mwanza unapumzika then musoma, na sisi ndio safari ndefu kabisa ukitoa kagera na kigoma.

Kaka MshanaJR sijajua ni kabira gani, ila nahisi ni mchaga, Brother embu njoo hata na mawazo na solution, Maana wachungaji wanahubiri kila siku, mikesha ya manabii yote inasema juu ya mwisho wa mwaka.

Hitimisho, Je solution ya ajali za mwisho wa mwaka ni nini ? Au tufunge mjadala wa kuwapa @tanpol lawama ? Lakini naona tutakuwa tunawalaumu bure tu. Watanzania wenzangu tufanyaje ?

Nawasilisha
Watu wengi wanasafiri mwisho wa mwaka ni kweli ila kuna mengine ya ziada yanafanywa kupitia mwanya huu. Huu ulimwengu ni mkubwa saana!
 
Salaam

Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena kuna gari lilianguka kama wiki mbili hiv.

Leo, asubuhi nakutana na huyu mfanyakazi ofisi ya hazina, amefariki na mtoto wake, ila Mama na wengine wapo hospitali majeruhi.

Jamani tufanye nini ? Hivi hizi damu zinazomwagika hivi na kuacha watu wakiwa vilema na tegemezi, tutakuja kumaliza hii adha lini.

Kwani nchi za wenzetu wanafanyaje ? Kiranga nasikia unaishi marekani ? Hivi utaratibu wa vacation huko nnje upoje ? Mbona sisi tunaokaa Musoma huko huwa tunajipanga na tunasafiri aste aste mpaka tunafika salama (tulio wengi) Utakuta unaendesha mpaka dodoma unapumzika, then mwanza unapumzika then musoma, na sisi ndio safari ndefu kabisa ukitoa kagera na kigoma.

Kaka MshanaJR sijajua ni kabira gani, ila nahisi ni mchaga, Brother embu njoo hata na mawazo na solution, Maana wachungaji wanahubiri kila siku, mikesha ya manabii yote inasema juu ya mwisho wa mwaka.

Hitimisho, Je solution ya ajali za mwisho wa mwaka ni nini ? Au tufunge mjadala wa kuwapa @tanpol lawama ? Lakini naona tutakuwa tunawalaumu bure tu. Watanzania wenzangu tufanyaje ?

Nawasilisha
ni muhimu sana kua waangalifu tuwapo barabarani na vyombo vya moto.

tujiepushe na vilevi, mwendokasi na kusinzia tunapoendesha vyombo vya moto barabarani na kwakweli kuvichunguza mara kwa mara ikiwa ni salama kwa safari 🐒
 
Kosa kubwa Afrika tulokuwa nalo ni kuto wajibisha wahusika. Jambo Anafanya mtu ila itatafutwa sababu ya kutowajibisha muhusika kwa kutengeneza Iman za kijinga niseme.
Ajili ikitokea sa hivi utaskia watu hoo Mipango ya Mungu, Mara mwisho wa mwaka hivyo watu hufa sana.

Ila kuwajibisha wahusika kama madereva wasiozingatia sheria au hata kuiambia serikali juu ya barabara zao mbovu hakuna.

Ajili nyingi zipo mwisho wa mwaka tunaosema kwasababu watu wengi hutumia usaifiri kwa wakati mmoja na kuna kuwepo na wimbi la wengi wasiozingatia sheria za barabara, bado ubovu wa barabara.

Ilikiwa ukikama dereva basi kakengeuka sheria ni kumchukulia lesini yake miaka mitatu hata na kifungo cha miaka miwili jela hivi maana kupoteza maisha ya watu ni zaidi ya hata hiyo adhabu, nadhani tungekuwa na uelewa kuwa ajali zinasababishwa na wazembe
 
Salaam

Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena kuna gari lilianguka kama wiki mbili hiv.

Leo, asubuhi nakutana na huyu mfanyakazi ofisi ya hazina, amefariki na mtoto wake, ila Mama na wengine wapo hospitali majeruhi.

Jamani tufanye nini ? Hivi hizi damu zinazomwagika hivi na kuacha watu wakiwa vilema na tegemezi, tutakuja kumaliza hii adha lini.

Kwani nchi za wenzetu wanafanyaje ? Kiranga nasikia unaishi marekani ? Hivi utaratibu wa vacation huko nnje upoje ? Mbona sisi tunaokaa Musoma huko huwa tunajipanga na tunasafiri aste aste mpaka tunafika salama (tulio wengi) Utakuta unaendesha mpaka dodoma unapumzika, then mwanza unapumzika then musoma, na sisi ndio safari ndefu kabisa ukitoa kagera na kigoma.

Kaka MshanaJR sijajua ni kabira gani, ila nahisi ni mchaga, Brother embu njoo hata na mawazo na solution, Maana wachungaji wanahubiri kila siku, mikesha ya manabii yote inasema juu ya mwisho wa mwaka.

Hitimisho, Je solution ya ajali za mwisho wa mwaka ni nini ? Au tufunge mjadala wa kuwapa @tanpol lawama ? Lakini naona tutakuwa tunawalaumu bure tu. Watanzania wenzangu tufanyaje ?

Nawasilisha
Barabara zetu ni nyembamba na zina matobo sana...mfano kipande cha Morogoro kuitafuta Ruaha Mbuyuni unalenga matobo mpaka mikono inapata jasho...kipande cha Igawa hadi Uyole unaweza kulia jinsi kilivyotoboka hasa Chimala...

Highways zote zipigwe 4 ways

1. Dar to Tunduma - 4 ways
2. Dar to Namanga - 4 Ways
3. Dar to Rusumo - 4 ways
4. Dar to Kasumulu - 4 Ways

Ukipiga hiyo unapunguza ajali na uchakavu wa barabara wa mapema...na unawezesha uchumi kutembea fasta
 
Kabla hujaanza safari ni muhimu kumuomba Mungu atuepushe na ajali ndugu yangu.

Ni Bora kutiii kuliko kushupaza shingo kaka
Ukishaona una haja ya kumuomba Mungu tu, ujue huyo Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, mwenye upendo wote, hayupo.

Kwa sababu angekuwepo, usingehitaji kumuomba kitu. Kwa sifa zake hizo, angekupa unachokihitaji kabla hujajua unakihitaji.

Kumuomba Mungu akujaalie hiki au kile ni ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.

Angekuwepo usingehitaji kuomba.
 
Salaam

Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena kuna gari lilianguka kama wiki mbili hiv.

Leo, asubuhi nakutana na huyu mfanyakazi ofisi ya hazina, amefariki na mtoto wake, ila Mama na wengine wapo hospitali majeruhi.

Jamani tufanye nini ? Hivi hizi damu zinazomwagika hivi na kuacha watu wakiwa vilema na tegemezi, tutakuja kumaliza hii adha lini.

Kwani nchi za wenzetu wanafanyaje ? Kiranga nasikia unaishi marekani ? Hivi utaratibu wa vacation huko nnje upoje ? Mbona sisi tunaokaa Musoma huko huwa tunajipanga na tunasafiri aste aste mpaka tunafika salama (tulio wengi) Utakuta unaendesha mpaka dodoma unapumzika, then mwanza unapumzika then musoma, na sisi ndio safari ndefu kabisa ukitoa kagera na kigoma.

Kaka MshanaJR sijajua ni kabira gani, ila nahisi ni mchaga, Brother embu njoo hata na mawazo na solution, Maana wachungaji wanahubiri kila siku, mikesha ya manabii yote inasema juu ya mwisho wa mwaka.

Hitimisho, Je solution ya ajali za mwisho wa mwaka ni nini ? Au tufunge mjadala wa kuwapa @tanpol lawama ? Lakini naona tutakuwa tunawalaumu bure tu. Watanzania wenzangu tufanyaje ?

Nawasilisha
Nanukuu: "Kwani nchi za wenzetu wanafanyaje ? Kiranga nasikia unaishi marekani ? Hivi utaratibu wa vacation huko nnje upoje ?"
Juzi daktari (MD)mmoja huko Ujerumani alivamia kwa gari watu sokoni waliokuwa wanafanya manunuzi ya kujiandaa kwa X-mass. Hapo vp?
 
Back
Top Bottom