kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Uefa ikiisha uzi unakufwa ,,,, Ni suala la muda tu !!!
Ajax wapo kwenye kipindi kizuri kwa kuangalia squad yao na age rates! Pia performance,
Ni Kama Leicester ya hv majuz , walivyoibuka na mafanikio season moja Kisha wakapotea! walishindwa kuwakeep mastaa wao wakauzwa kwa vilabu vikubwa na kupewa mikataba minono ! Ajax nao next season hawawez kuwa na mastaa wao wote, kina de Jong tayari, de light nae vilabu vikubwa vinamtolea udenda ! Time Will tell
Soon watarud kwenye shimo walilotokea, siku hz football Ni pesa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajax wapo kwenye kipindi kizuri kwa kuangalia squad yao na age rates! Pia performance,
Ni Kama Leicester ya hv majuz , walivyoibuka na mafanikio season moja Kisha wakapotea! walishindwa kuwakeep mastaa wao wakauzwa kwa vilabu vikubwa na kupewa mikataba minono ! Ajax nao next season hawawez kuwa na mastaa wao wote, kina de Jong tayari, de light nae vilabu vikubwa vinamtolea udenda ! Time Will tell
Soon watarud kwenye shimo walilotokea, siku hz football Ni pesa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app