Ajira 17,412 kwa kada za Elimu na Afya zatangazwa. Wananchi wenye sifa wahimizwa kuomba nafasi

🤝🤝
 
Iviiiiii kada ni mbili tu ajira ma afyaaa baaaas
 
System haipo vizuri
Nataka kusign up hata sioni sehemu ya kubonyeza
 
Iviiiiii kada ni mbili tu ajira ma afyaaa baaaas
We umesoma kozi ipi.. hiz Ajira mpya zimetoka kwa kada zenye kipaumbele.. kama umesoma uhasibu Kuna Ajira za TRA Omba chap..
Kuna kuna Kilimo, mifugo na sheria hizi sijui watatangaza lini maombi Ila zilikuwa na idadi yake chache kimtindo
 
Mfumo siuelewi elewi...

Hivi tuliomba mwaka jana tukakosa tunatumia username na passwords zilezile au ndo tunafungua upyaa
 
Ajira za Sheria zitasimamiwa na Mahakama kuu..? maana Hadi leo hatujaona matangazo ya zile Ajira na walisema ziko 500+

Hata watu wa Kilimo na mifugo.. zote kimya...
 
Ajira za Sheria zitasimamiwa na Mahakama kuu..? maana Hadi leo hatujaona matangazo ya zile Ajira na walisema ziko 500+

Hata watu wa Kilimo na mifugo.. zote kimya...

Kama afya na ualimu wametoa leo, kwanini usiamini kuwa sheria wanaweza kutoa kesho au siku nyingine?

Ulitaka zitoke siku moja!
 
Hiv inakuaje kama nimeomba ajira za wizara ya afya then nikaomba na ajira za TAMISEMI ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…