TAMISEMI wao wenyewe ndio wanaotengeneza hili tatizo la rushwa kutokana na vipaumbele vyao ktk utoaji wa ajira. Hiki kipaumbele cha kujitolea ni hatari sana ni mwanya mkubwa Sana wa rushwa n vyema kingeachwa mara moj
Mfumo mzuri usio na makandokando ambao hata huko nyuma ulitumika ni ule wa "FIRST OUT, FIRST IN" yani unaajiri Kwanza waliowah kumaliza zen unafata wanaofatia kwa mwaka mwingne.
Faida za mfumo huu ni; Kwanza, kuondoa mwanya wa rushwa.
Pili, anayepata na aliyekosa wote wanakuwa kitu kimoja na kuona haki imetendeka maana aliyekosa ataona ni wazi kabisa aliyepata ni aliyemtangulia kumaliza mafunzo.
Tatu, kwakuwa taratibu za kuajirika ni mwisho miaka 45 kufata mfumo huu ni vizuri maana hutoacha mtu kuliko kutumia mifumo mingne huenda mtu fulani akawa anakosa tu hadi kufikia umri wa kutoajirika tena.