Ajira elfu 13 mpaka Sasa maombi ni laki nne

Ajira elfu 13 mpaka Sasa maombi ni laki nne

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
 
Yule mtu wenu alikuwa hamnazo aisee, private sector aliua, Serikalini aliacha kuajiri, mtu ukijiajiri TRA wanakukamua unarudi kuwa chinga.

Mbaya sana hii aisee,hizi mambo zinaweza kukupa unemployment rates na hapo ni kada mbili tuu za Afya na Elimu.

JK alianza kujenga uchumi mzuri wa watu kuanza kujiajiri lakini Jamaa aliharibu Kila kitu, sasa mama ana struggle kujaribu kuwaaminisha Vijana kwamba Kuna maisha Kwa kujiajiri Kwa kuwarahisishia mazingira ya kufanya biashara.

Yule jamaa yenu bora alikufa aisee,watu wangeanza kukimbia Nchi kama Ethiopia au huko Western na kufa njiani.
 
20230415_151349.jpg
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Huyu ni mwalimu tena wa digrii!! Kazi ipo!
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Naunga mkono hoja
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
TAMISEMI maslahi ni kiduchu sana na mazingira ya kazi ni hovyo kama jehanamu sijui wanakimbilia nini hao watu laki nne
 
Yule mtu wenu alikuwa hamnazo aisee, private sector aliua, Serikalini aliacha kuajiri, mtu ukijiajiri TRA wanakukamua unarudi kuwa chinga.

Mbaya sana hii aisee,hizi mambo zinaweza kukupa unemployment rates na hapo ni kada mbili tuu za Afya na Elimu.

JK alianza kujenga uchumi mzuri wa watu kuanza kujiajiri lakini Jamaa aliharibu Kila kitu, sasa mama ana struggle kujaribu kuwaaminisha Vijana kwamba Kuna maisha Kwa kujiajiri Kwa kuwarahisishia mazingira ya kufanya biashara.

Yule jamaa yenu bora alikufa aisee,watu wangeanza kukimbia Nchi kama Ethiopia au huko Western na kufa njiani.
Mimi niliona mapema sana tangu 2015 nikawa nawaambia watu huyu mtu anaenda kuharibu nchi.
 
Hapa Tz Hakuna walimu laki nne acheni uongo dam_shi*t lete takwimu.
Kuna Vyuo vingapi vinatoa taaluma ya ualimu kuanzia ngazi ya cheti Hadi Chuo Kikuu?

Piga hesabu kuanzia mwaka 2016 Hadi 2022 Kuna Vijana wangapi mtaani.
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Aliwanyoosha mkanyoka maana nyie ni majizi mnaiba hadi mnajiibia wenyewe JPM aliwakanyaga mno

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Hongera SANA kwa kuwa mpumbavu wa kwanza
 
Sema Mengine Yule Baba Wa Chettle Aachwe Aongoze Malaika Taratibu
 
Back
Top Bottom