Ajira elfu 13 mpaka Sasa maombi ni laki nne

Ajira elfu 13 mpaka Sasa maombi ni laki nne

Mkuu swala la ajira ni janga la dunia nzima! Hata angekuja Rais gani.
Mimi nadhani serikali ifikirie kuwakopesha mitaji graduates ili wajiajiri.
Haiwezekani nchi haina viwanda vya kutosha,Raslimali za nchi na vyanzo vingine vya mapato viko mikononi mwa wageni (Wawekezaji wa kigeni),harafu ,tutegemee eti itaajiri graduates wote!
Mkuu usiniparue na makucha,hayo ni maoni yangu!
Haya ni mawazo ya ccm kuwahadaa watz.
 
JamiiForums1156698034.jpeg
 
Mkuu swala la ajira ni janga la dunia nzima! Hata angekuja Rais gani.
Mimi nadhani serikali ifikirie kuwakopesha mitaji graduates ili wajiajiri.
Haiwezekani nchi haina viwanda vya kutosha,Raslimali za nchi na vyanzo vingine vya mapato viko mikononi mwa wageni (Wawekezaji wa kigeni),harafu ,tutegemee eti itaajiri graduates wote!
Mkuu usiniparue na makucha,hayo ni maoni yangu!
Hicho kisiwe kichaka cha kujificha serikali inawajibu wa kutengeneza nafasi za ajira kwa watu wake kwa hilo jpm pamoja na mazuri mengi alichemka mfumo wa elimu na ajira zetu umelenga kuajiri watu sio kujiajiri
 
Back
Top Bottom