Ajira elfu 13 mpaka Sasa maombi ni laki nne

Ajira elfu 13 mpaka Sasa maombi ni laki nne

Nyie mapunga ya Jiwe msiojua hesabu hapo tafsiri yake ni kwamba mpaka sasa probabilities ya kijana kupata ajira ni 0.075.
Je, mpaka siku ya kufunga dirisha?
 
Huyu anaye ongea hapa inawezekana yupo kwenye TV hata sio mtu wa kusafiri, hivi waajiriwa wapya wangeenda wapi kama si hizo hospital za wilaya ambazo nyingi tena zaidi ya asilimia 80 zimejengwa kipindi cha JPM,nyingine ujenzi wake zikifikia 50%.Hivi unajua ofisi nyingi za wakuu wa wilaya na wakuu wa mkoa nyingi zimejengwa hawamu ya Magu ambazo nazo zinasubiri waajiriwa,hivi unafahamu mahakama kila wilaya ktk mikoa yote nyinyi zimejengwa kipindi cha Magu.

Najua umekaa kwenye TV na kushinda humu JF na Social media kiwasikiliza wanasiasa uchwala,hao wanao ajiliwa wanaenda kukaa kwenye miundo mbinu iliyojengwa enzi ya Magufuli.Tatizo lenu mnapenda kusimuliwa ila sisi tunao safiri mikoani tunajua umuhimu wa yule mtu kwani aliyo yafanya yanaonekana so we endelea kufuga Mimba ya Chuki ya Mwendazake.
Kumbuka jk aliajiri walimu na madaktari wote bila kubaki mtu kila mwaka na ndo mana ajira hizi wanasema kuanzia 2015 which means chini ya hapo wote wameshaajiriwa na ndo ukweli. Jpm akaja kupiga Pini ajira zote kila mwaka kama jk
 
Yote ni kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu kuwaandaa vijana kusimama kiuchumi.
Huu mfumo wa chekechea, msingi, sekondari, chuo then kutembeza bahasha ndio uishi umepitwa na wakati.
Tubadili mfumo watu wafundishwe study za Kazi tangu awali
 
Kumbuka jk aliajiri walimu na madaktari wote bila kubaki mtu kila mwaka na ndo mana ajira hizi wanasema kuanzia 2015 which means chini ya hapo wote wameshaajiriwa na ndo ukweli. Jpm akaja kupiga Pini ajira zote kila mwaka kama jk
Brother mimi sio kama ww mpaka usimuliwe,mimi kazi zangu za kusafiri nacho kiongea nimekiona,sasa hao waajiriwa wapya bila haya majengo wangeenda kukaa wapi? Hivi unajua kuna hospital kibao zipo zimekamilika bado kufungwa vifaa tuu,serikali inahangaika kutafuta hela.

Sasa unaajiri vip na hauna pa kuwapeleka,shule za kata zilijengwa enzi ya Kikwete na ndio maana uhitaji wa walimu ulikuwa mkubwa,sana sasa hivi ukisema uajiri walimu wote unaenda kuwaweka wapi na kwa miundombinu gani. Kuhusu madakatari wapo madaktari wa 2015 na hawakuajiliwa mifano ninayo.

Tembeea uone na si usimuliwe na wa humu mitandaoni.

Nakuuliza mfano unataka uchumi wa viwanda kwa nchi changa kama ya Tanzania kipi kitatangulia,kuwajili watu kwa ajili ya viwanda au kujenga miundombinu ,bararabara,vyanzo vya nishati.
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
JPM akiishi anaishi, akifa nikama anaishi!
 
Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.

Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.

Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.

Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Nikikuta mwalimu anapambana na nyoka, nitamsaidia nyoka.
 
Yule mtu wenu alikuwa hamnazo aisee, private sector aliua, Serikalini aliacha kuajiri, mtu ukijiajiri TRA wanakukamua unarudi kuwa chinga.

Mbaya sana hii aisee,hizi mambo zinaweza kukupa unemployment rates na hapo ni kada mbili tuu za Afya na Elimu.

JK alianza kujenga uchumi mzuri wa watu kuanza kujiajiri lakini Jamaa aliharibu Kila kitu, sasa mama ana struggle kujaribu kuwaaminisha Vijana kwamba Kuna maisha Kwa kujiajiri Kwa kuwarahisishia mazingira ya kufanya biashara.

Yule jamaa yenu bora alikufa aisee,watu wangeanza kukimbia Nchi kama Ethiopia au huko Western na kufa njiani.
Huwezi kuamini Kuna wapumbavu wanamsifia
 
Mkuu swala la ajira ni janga la dunia nzima! Hata angekuja Rais gani.
Mimi nadhani serikali ifikirie kuwakopesha mitaji graduates ili wajiajiri.
Haiwezekani nchi haina viwanda vya kutosha,Raslimali za nchi na vyanzo vingine vya mapato viko mikononi mwa wageni (Wawekezaji wa kigeni),harafu ,tutegemee eti itaajiri graduates wote!
Mkuu usiniparue na makucha,hayo ni maoni yangu!
Hivi huwaga mnaelewa mnachoandika!?
 
Back
Top Bottom