- Thread starter
- #21
Hata mtaa haweziSema Mengine Yule Baba Wa Chettle Aachwe Aongoze Malaika Taratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mtaa haweziSema Mengine Yule Baba Wa Chettle Aachwe Aongoze Malaika Taratibu
Sote ni wa Mungu hamna mtu wa mtuUsomi gani wewe mshenzi,Kwa hiyo wewe alichokuwa anafanya yule mtu wenu ni sawa?
Kikwwte aliwezaje sasaMkuu swala la ajira ni janga la dunia nzima! Hata angekuja Rais gani.
Mimi nadhani serikali ifikirie kuwakopesha mitaji graduates ili wajiajiri.
Haiwezekani nchi haina viwanda vya kutosha,Raslimali za nchi na vyanzo vingine vya mapato viko mikononi mwa wageni (Wawekezaji wa kigeni),harafu ,tutegemee eti itaajiri graduates wote!
Mkuu usiniparue na makucha,hayo ni maoni yangu!
Kwa hiyo?Sote ni wa Mungu hamna mtu wa mtu
Shule zipo nyingi sana na walimu hamna. Kwa hiyo swala ni mipango tu na kupata rais mwenye akiliMkuu swala la ajira ni janga la dunia nzima! Hata angekuja Rais gani.
Mimi nadhani serikali ifikirie kuwakopesha mitaji graduates ili wajiajiri.
Haiwezekani nchi haina viwanda vya kutosha,Raslimali za nchi na vyanzo vingine vya mapato viko mikononi mwa wageni (Wawekezaji wa kigeni),harafu ,tutegemee eti itaajiri graduates wote!
Mkuu usiniparue na makucha,hayo ni maoni yangu!
Huna akili. Moja ya kazi za serikali ni kuwapa ajira vijana upon needs. Leo hii nenda mashuleni walimu hamna ila serikali ya jpm ilitaka wanafunzi wajisomee wenyewe tuSwala la ajira haliwezi tatuliwa na serikali tu, wengine kalimeni
Huyu anaye ongea hapa inawezekana yupo kwenye TV hata sio mtu wa kusafiri, hivi waajiriwa wapya wangeenda wapi kama si hizo hospital za wilaya ambazo nyingi tena zaidi ya asilimia 80 zimejengwa kipindi cha JPM,nyingine ujenzi wake zikifikia 50%.Hivi unajua ofisi nyingi za wakuu wa wilaya na wakuu wa mkoa nyingi zimejengwa hawamu ya Magu ambazo nazo zinasubiri waajiriwa,hivi unafahamu mahakama kila wilaya ktk mikoa yote nyinyi zimejengwa kipindi cha Magu.Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.
Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.
Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.
Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Wakina msalaba wanasema heti mama samia badala ya kujenga nchi anajenga misikiti[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.
Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.
Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.
Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Siku kujua kuwa umjinga kiasi hiki hehehe!!!Aliwanyoosha mkanyoka maana nyie ni majizi mnaiba hadi mnajiibia wenyewe JPM aliwakanyaga mno
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
NakaziaTukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.
Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.
Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.
Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Huna akili. Moja ya kazi za serikali ni kuwapa ajira vijana upon needs. Leo hii nenda mashuleni walimu hamna ila serikali ya jpm ilitaka wanafunzi wajisomee wenyewe tu
Nadanganya ndugu zangu[emoji14][emoji14][emoji14][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]